RC DSM anatafuta kiki at all cost.

tejateja

JF-Expert Member
Feb 26, 2015
1,620
970
Haya mambo mbona yanavuka mipaka,. Umaarufu unatafutwa hata kwa mipango ya kitoto kabisa na kupitia watoto wadogo.
Halafu kingereza cha RC ni kibovu kupita maelezo.
TBC .
 
hahahahaa nimeona asa atafanyaje mana kwingine wamemsusia, na TBC nao wamekosa habari za maana.
 
Ndiko wenzako wameipata taarifa ya RC Makonda.
Sasa Wewe na wenzio nani pumbavu?
 
Sasa kama anapata uahauri kwa kina le mutozi big show king of media kwanini asitafute kiki
FB_IMG_1491665863298.jpg


Swissme
 
Haya mambo mbona yanavuka mipaka,. Umaarufu unatafutwa hata kwa mipango ya kitoto kabisa na kupitia watoto wadogo.
Halafu kingereza cha RC ni kibovu kupita maelezo.
TBC .
Nafikiri suala la kiingereza kibovu halina mashiko. Watanzania wasomi zaidi ya 95% hawajui kiingereza fasaha. Suala la kiingereza ni tatizo la nchi nzima na ni la mataifa mengi. Tumseme kwa mengine sio kwa hili la lugha, naamini hata wewe ukienda pale british council kufanya IELTS hutapata 100%.
 
Nafikiri suala la kiingereza kibovu halina mashiko. Watanzania wasomi zaidi ya 95% hawajui kiingereza fasaha. Suala la kiingereza ni tatizo la nchi nzima na ni la mataifa mengi. Tumseme kwa mengine sio kwa hili la lugha, naamini hata wewe ukienda pale british council kufanya IELTS hutapata 100%.
Hatofautiani sana na kingereza cha yule waziri wa elimu aliesema Tanzania ni muunganiko wa Tanganyika na visiwa vya Zimbabwe.
J K akamtema fasta.
PhD afu huwezi nyoosha sentesi moja ya kizungu.

Pombe sio chai.
 
Nafikiri suala la kiingereza kibovu halina mashiko. Watanzania wasomi zaidi ya 95% hawajui kiingereza fasaha. Suala la kiingereza ni tatizo la nchi nzima na ni la mataifa mengi. Tumseme kwa mengine sio kwa hili la lugha, naamini hata wewe ukienda pale british council kufanya IELTS hutapata 100%.
Upo sahihi hili la Kiengereza kibovu tusimuhukumu kwa sababu hata yule MTU mwenye PhD kiengereza chake ni cha mashaka mno
 
Nafikiri suala la kiingereza kibovu halina mashiko. Watanzania wasomi zaidi ya 95% hawajui kiingereza fasaha. Suala la kiingereza ni tatizo la nchi nzima na ni la mataifa mengi. Tumseme kwa mengine sio kwa hili la lugha, naamini hata wewe ukienda pale british council kufanya IELTS hutapata 100%.
Sababu mi nakijua kwa ufasaha si mbaya nikimcheka asiye kijua
 
Nasikia jamaa kapigwa risasi asubuhi hii, pale Namanga Best byte. Alikua anashuka kwenye Harrier.

Polisi wametanda eneo lote, barabara imefungwa.
 
Back
Top Bottom