TV station mbaya kuwahi kutokea duniani.Mmeanza kuiangalia TBC?![]()
Yana mwisho.Sasa kama anapata uahauri kwa kina le mutozi big show king of media kwanini asitafute kiki
View attachment 492982
Swissme
Nafikiri suala la kiingereza kibovu halina mashiko. Watanzania wasomi zaidi ya 95% hawajui kiingereza fasaha. Suala la kiingereza ni tatizo la nchi nzima na ni la mataifa mengi. Tumseme kwa mengine sio kwa hili la lugha, naamini hata wewe ukienda pale british council kufanya IELTS hutapata 100%.Haya mambo mbona yanavuka mipaka,. Umaarufu unatafutwa hata kwa mipango ya kitoto kabisa na kupitia watoto wadogo.
Halafu kingereza cha RC ni kibovu kupita maelezo.
TBC .
Hatofautiani sana na kingereza cha yule waziri wa elimu aliesema Tanzania ni muunganiko wa Tanganyika na visiwa vya Zimbabwe.Nafikiri suala la kiingereza kibovu halina mashiko. Watanzania wasomi zaidi ya 95% hawajui kiingereza fasaha. Suala la kiingereza ni tatizo la nchi nzima na ni la mataifa mengi. Tumseme kwa mengine sio kwa hili la lugha, naamini hata wewe ukienda pale british council kufanya IELTS hutapata 100%.
Le akili kubwaz !Acha wivu.
Upo sahihi hili la Kiengereza kibovu tusimuhukumu kwa sababu hata yule MTU mwenye PhD kiengereza chake ni cha mashaka mnoNafikiri suala la kiingereza kibovu halina mashiko. Watanzania wasomi zaidi ya 95% hawajui kiingereza fasaha. Suala la kiingereza ni tatizo la nchi nzima na ni la mataifa mengi. Tumseme kwa mengine sio kwa hili la lugha, naamini hata wewe ukienda pale british council kufanya IELTS hutapata 100%.
Labda walipokubalianaa wakaongeza na kipengele "isipokuwa JF tu"Mlikubaliana kutokuandika habari zake kokote. imekuwaje tena?
Sababu mi nakijua kwa ufasaha si mbaya nikimcheka asiye kijuaNafikiri suala la kiingereza kibovu halina mashiko. Watanzania wasomi zaidi ya 95% hawajui kiingereza fasaha. Suala la kiingereza ni tatizo la nchi nzima na ni la mataifa mengi. Tumseme kwa mengine sio kwa hili la lugha, naamini hata wewe ukienda pale british council kufanya IELTS hutapata 100%.
Bashite ni taahiraAcha wivu.