RC DSM anatafuta kiki at all cost.

RC DSM anatafuta kiki at all cost.

Nasikia jamaa kapigwa risasi asubuhi hii, pale Namanga Best byte. Alikua anashuka kwenye Harrier.

Polisi wametanda eneo lote, barabara imefungwa.
Nani tena kapigwa risasi??
Fafanua kidogo
 
Mkuu,

TBC ndio BBC ya Afrika. Harrison Mwakyembe (Mb), Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni.

Kaka ...
alivyokuwa anatamka hivi ingebidi apelekwe kwa mkemia mkuu akapimwe damu ijulikane alitumia kilevi ama laah.
 
Kwakweli nimecheka sana. Eti mtoto kazaliwa hajui kiswahili anasikia tu hawezi kujibu. Kingereza kajifunza kwa njia ya kusoma vitabu mnh kweli???? Uzaliwe katika jamii usijue lugha yao? Halafu ujifunze lugha ya kigeni kwa kusoma vitabu tu ?? Mnh mi mpaka leo kichina basi kisingenishinda. Hivi ni vituko uswahilini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom