TV station mbaya kuwahi kutokea duniani.
Mkuu,
TBC ndio BBC ya Afrika. Harrison Mwakyembe (Mb), Waziri wa Habari, Michezo, Sanaa na Utamaduni.
Kaka ...
alivyokuwa anatamka hivi ingebidi apelekwe kwa mkemia mkuu akapimwe damu ijulikane alitumia kilevi ama laah.