RC Chalamila: Kujifanya wanasheria pamoja na kupenda kiingereza kunakwamisha maendeleo ya mkoa wa Kagera

Singida kuna maendeleo kuliko Kagera?
Mimi sijui wakisemaga kagera ni maskini...wanaongelea kagera ipi...

Maana huko vijijini kuna majumba na majumba...bila kusahau barabara za kunganisha wilaya nyingi ni za lami...
Wilaya kams muleba ina hospital tatu na shule kibao ...

Sasa sijui wanataka kagera nzima iwe na maghorofa kama dar?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwani Kagera wanaishi wahaya peke yao!?...na hiyo mikoa mingine iliyoendelea kuzidi hiyo Kagera,hakuna wahaya wanaotoa michango yao!?..mimi nadhan RC ASI attack characters za watu, angebuni ni namna gani afanye kuwasaidia hao anaowaita wabishi...na hii nchi kuna kasumba kwamba ukihoji au ukaonesha kujua haki zako unaitwa mbishi...Uzuri wa Taifa letu ni hii mosaic ya utamaduni na Mila, kiongozi mzuri ni yule anayeweza kubuni mbinu ya kuongoza watu wake na kubadirisha mitazamo yao hasi na kuwaletea maendeleo Bila kuonekana kwamba unawakejeli. Chalamira aambiwe nchi hii ni yetu sote,kabila ni utambilisho tuu... Serikali kuu inaongoza Watanzania sio makabila...hayo mambo awaachie wabunge naadiwani wanyooshane na raia wao,yeye aangalie picha Kubwa.
 
Huyo jamaa kwa "kuropoka" hawezi kuacha kipaji chake, alichojaaliwa na Mungu😄

Noo!! Hebu sikiliza alivyoongea na alichokileta muanzisha uzi, vitu viwili tofauti!! WaTZ tumekuwa watu wa ajabu sana miaka, hawajaona cha kujadili katika sentensi nzima aliyosema "...sitaki mivutano ya sheria wala viingereza, nataka kuona namna gani utageuza elimu yako kuleta maendeleo!!" Serious katika hiyo sentensi tumeona aliposema sitaki viingereza 😀😀😀😀 tumekwisha!!
 
Alianza Nyerere kupeleka washenzi mkoa wa Kagera ili kukwamisha maendeleo ya mkoa, hiyo tabia haijawahi kuisha leo tunatafuta mchawi kwa maneno ya shombo.

Eti mara hii Wahaya leo wamekuwa laughing stock ya nchi!!
 
We anzisha duka lako fungua hata sa kumi alfajiri usianze kuleta ujuaji kwenye biashara za watu.
 
Na Kagera ndo mkoa unaoshika nafasi ya pili kwa Makazi bora ya vijijini ukiongozwa na Kilimanjaro. Nenda Simiyu watu na Ng'ombe wanashindana kwa ubora wa nyumba. Geita kuna dhahabu nyumba bora za kuhesabu. Maendeleo gani binafsi ambayo Simiyu inaizidi Kagera?
Mambo ya kulala na ng'ombe ni hadithi tu! Njoo mtaani huku Simiyu aangalie wanaume wanavyopambana! Geita inawazidi mzunguko wa pesa na uchakarikaji wana wananchi wake!
 
Alianza Nyerere kupeleka washenzi mkoa wa Kagera ili kukwamisha maendeleo ya mkoa, hiyo tabia haijawahi kuisha leo tunatafuta mchawi kwa maneno ya shombo.

Eti mara hii Wahaya leo wamekuwa laughing stock ya nchi!!
Huwa hamtaki kuambiwa ukweli! Wahaya waongo waongo wana maisha mazuri ukienda anapoishi ujinga mtupu! Hata hapa town tunao mara nafanya kazi wapi na wapi! Wanaongoza kufeki maisha! Wapuuzi sana hawa!
 
Huwa hamtaki kuambiwa ukweli! Wahaya waongo waongo wana maisha mazuri ukienda anapoishi ujinga mtupu! Hata hapa town tunao mara nafanya kazi wapi na wapi! Wanaongoza kufeki maisha! Wapuuzi sana hawa!
🤣😂🤣 Sasa tumeanza kushambuliana na 'kurekebishana' kwa misingi ya kikabila?

Je serikali inatimiza wajibu wake katika kuweka mazingira wezeshi ndani ya mkoa?

Mimi sitokei huko ila najua mawili matatu nini mchango wa serikali katika kudumaza maendeleo ya mkoa ule.
 
Acha kujifariji mkoa wa Simiyu unaizidi kagera nenda bariadi ukaone watu wake walivo na mafanikio ndani ya mkoa wao! Mfano hata geita iko vizuri kuliko kagera japo umasikini upo ila mzunguko wa pesa geita na wananchi wake wanavopiga kazi hawawafikii hata kidogo! Angalia senta zao kama Katoro linganisha na nyinyi huko?
Mafanikio ya makafara! Kagera hatunaga hizo.
 
Kingereza kinazuiaje maendeleo?

Yeye ni mkuu wa mkoa...Stendi ya Bukoba ni majanga..ashawahi itembelea akaona matatizo yake..


Yaan mtu unaletwa uongoze mkoa unaanza maneno na kejeli...solve matatizo ya mkoa hasa hapo Bukoba...mji barabara zake mbovu, stendi ni ya matope na kero nyingine kibaoo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hiyo stendi, imehamishiwa pale Leo?
 
Wameelezwa ukweli wanaanza kuleta maneno, hapo ujumbe waache uvivu waongeze kasi ya kuchapa kazi wafungue maduka mapema sana biashara zifanyike sio unaduka sababu ni lako ukafungue saa nne, wachukue ushauri wasonge mbele siri ya maendeleo ni kazi kwa bidii
Na kibaya zaidi , Hiro duka lipo moja maeneo hayo.
 
Back
Top Bottom