PostGE2025 RC Chalamila: Hatukusema Wananchi wakae ndani

PostGE2025 RC Chalamila: Hatukusema Wananchi wakae ndani

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
RC hajui vile watu walivyokua wanarudishwa walipotoka au warudi majumbani na wengine kuambiwa washuke kwenye boda boda haziruhusiwi watembee...

Anazungumzia theory, ila practical haikua hivyo...
Santo sana kwa mwongozo lo!
 
Huwezi kuwa na kichwa kama Parachichi na ukawa mzima kichwani....hakuna
 
Ni kweli
Mbona sisi ambao hatukuwa na mipango ya kuiba na kuchoma mali za watu na kuharibu miundo mbinu tulitoka freshi tu tulikuwa mitaani, na tunapita vizuizi bila shida
Tena msikiti wetu upo mtaa wa tatu na swala zote nimepiga
 
Back
Top Bottom