Simchezo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 445
- 345
Kuna sehemu karibu na mataa ya mafiat wanauza kitimoto safi sana, nimepasahau jina lake, nilikuwa hapo 2 years ago....Nilikuwa Mbeya J3 kweli jamaa hawana habari na corona kabisa ni kula kitimoto na Bia.