johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Akiongea na wananchi wa Mbalizi mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Albert Chalamila amesema mkoani kwake wanatwanga bia kitambo hawasubiri party ya Jumapili kama Dar.
Amedai kuna wakati alifungia bar kwa siku moja na kesho yake akaruhusu watu watwange bia hadi saa 7 za usiku.
Amemalizia kwa kusema Mbeya ni jiji la wajanja hata yeye ukimzingua anapaki gari pembeni mnazichapa kavu kavu ukimdunda poa tu
Maendeleo hayana vyama