Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,548
- 225,124
Jamaa ana elimu nzuri tuHivi CV yake ikoje ili nami niweze kumjua kwani sijawahi kumwelewa matamshi yake
Corona Haitakaa ipoteza mda wake tena kuja Tanzania.. 😂😂Corona haiamini inavyodharaulika Tz
Kimya hadi sasa maanake kakubali matokeo...Tumpe kipaza sauti RC Makonda tuone anasemaje kuhusu hili
Ndio thinkers mbadala wa siasa ya ujamaa na kujitegemea.mmekabidhi nchi kwa washamba na malimbukeni.
Unamaanisha CHAKAMILA au CHALAMILA?
Huyu mtu anashida kichwani
Cheo ni kikubwa kuliko uwezo wakeThis guy is comedian😅😅😅
watu wa hovyo kabisammekabidhi nchi kwa washamba na malimbukeni.
We...alisema hivyo? Hahaha woyooooooooo piga kelele kwa chaufupi akeeeeee🤣🤣🤣Mnamuonea huyo jamaa mwenye kichwa kama punje ya mchele.Hivi ndiyo anayesemaga ana "deep love" na wanawake wafupi?Very hopeless chap😂😂😂😂
Wa manunu🤣🤣🤣Hahahaha 😆😆😆😆
Acha na Sisi tusherekehee msiba wa taifa