GE2025 RC Chalamila: CCM Mnapaswa kuwa Mabalozi wazuri wa Demokrasia

GE2025 RC Chalamila: CCM Mnapaswa kuwa Mabalozi wazuri wa Demokrasia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amesema kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi mikutano yote ya hadhara katika mkoa huo imewekwa wazi katika viwanja na tarehe za mikutano kuanzia tarehe iliyotangazwa na tume hadi karibu na uchaguzi Mkuu

RC Chalamila ameyasema hayo alipotembelea eneo la Tanganyika Packers Kawe Jijini Dar es Salaam ambalo siku ya kesho Chama cha Mapinduzi (CCM) kitazindua kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu ujao

Aidha RC Chalamila ameongeza CCM ambao ni Chama tawala wanapaswa kuwa mabalozi wazuri wa demokrasia kwa vyama vingine


 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amesema kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi mikutano yote ya hadhara katika mkoa huo imewekwa wazi katika viwanja na tarehe za mikutano kuanzia tarehe iliyotangazwa na tume hadi karibu na uchaguzi Mkuu

RC Chalamila ameyasema hayo alipotembelea eneo la Tanganyika Packers Kawe Jijini Dar es Salaam ambalo siku ya kesho Chama cha Mapinduzi (CCM) kitazindua kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu ujao

Aidha RC Chalamila ameongeza CCM ambao ni Chama tawala wanapaswa kuwa mabalozi wazuri wa demokrasia kwa vyama vingine


Aaahaaaa
 
Mjinga huyu
BALOZI WA DEMOKRASIA ANAKIMBILIA KWA MSAJILI NA MAHAKAMA kwa mambo ya KISIASA?
CCM HAWAWEZI KUJIBU HOJA KWA HOJA BILA
TISS
POLISI
JWTZ
MSAJILI
MAHAKAMA
WASANII
WEUPE HAO
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amesema kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi mikutano yote ya hadhara katika mkoa huo imewekwa wazi katika viwanja na tarehe za mikutano kuanzia tarehe iliyotangazwa na tume hadi karibu na uchaguzi Mkuu

RC Chalamila ameyasema hayo alipotembelea eneo la Tanganyika Packers Kawe Jijini Dar es Salaam ambalo siku ya kesho Chama cha Mapinduzi (CCM) kitazindua kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu ujao

Aidha RC Chalamila ameongeza CCM ambao ni Chama tawala wanapaswa kuwa mabalozi wazuri wa demokrasia kwa vyama vingine


Too late for that
 
Back
Top Bottom