GE2025 RC Chalamila: Atakayetujaribu, tutafanya kweli. Hakuna atakayetikisa Amani ya Taifa hili

GE2025 RC Chalamila: Atakayetujaribu, tutafanya kweli. Hakuna atakayetikisa Amani ya Taifa hili

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akizungumza kwenye ufunguzi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) Ubungo, leo tarehe 1 Agosti, 2025 amesema;

"Mhe. Rais, wewe unagombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, sisi vijana wako tunakuombea kila la heri na tumejipanga na ndugu zangu kwamba hakuna sauti yoyote itakayotikisa amani ya taifa hili na hasa hapa Dar es Salaam, tumejipanga kwa mtu yoyote yule ambaye anaweza kufanya majaribio, sisi hatutamjaribu bali tutafanya kweli"


 
"Tumejipanga na ndugu zangu kwamba hakuna sauti yoyote itakayotikisa amani ya taifa hili na hasa hapa Dar es Salaam, tumejipanga kwa mtu yoyote yule ambaye anaweza kufanya majaribio, sisi hatutamjaribu bali tutafanya kweli"

Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
na kweli, watamuua, watampoteza, watamvunja vunja miguu
 
Hiyo nguvu angeihamishia kwenye kuwasaidia wananchi wa kimara wanaoteseka na mwendokasi, au huduma za afya, maji, miundombinu ambavyo vimekuwa vya kusuasua angekuwa wa maana sana kuliko kudeal na mambo yasiyo na impact kwa wananchi
 
"Tumejipanga na ndugu zangu kwamba hakuna sauti yoyote itakayotikisa amani ya taifa hili na hasa hapa Dar es Salaam, tumejipanga kwa mtu yoyote yule ambaye anaweza kufanya majaribio, sisi hatutamjaribu bali tutafanya kweli"

Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 3427001
HUYU LIKITOKEA LA KUTOKEA ATAKUWA WAPILI AU WA TATU
 
Anashindwa kutumia akili anakuwa MTU wa vitisho anabidi kujitafakari huyu kijana
 
we bwana wewe,,,, acha kutisha watu , hebu acha kutekenya usivyoweza kutuliza.... kaa ofisini endelea kula unachokula,,,,
sisi wadanganyika ni wastaarabu, tumeshakubaliana na yatokanayo..
watanzania waliojiandikisha kupiga kura ni Mil. 37... waajiriwa wa serikali wote hawazidi Mil 1...
 
When you have power and no body cares every one is minding his own business

You have power but you lack attention from the citizen
Theyvare ignoring you whatever you say or speak

You become mad like a barkibg dog

He is a barking dog
 
Hiyo nguvu angeihamishia kwenye kuwasaidia wananchi wa kimara wanaoteseka na mwendokasi, au huduma za afya, maji, miundombinu ambavyo vimekuwa vya kusuasua angekuwa wa maana sana kuliko kudeal na mambo yasiyo na impact kwa wananchi
Halafu kwa UHAKIKA atastaafu kazi na kurudi kujiunga na kuishi kwenye maeneo ya hao-hao wananchi au raia ambao baadhi yao watakuwa wamejeruhiwa au kuuawa kwa hiyo nguvu - amri yake.
 
"Tumejipanga na ndugu zangu kwamba hakuna sauti yoyote itakayotikisa amani ya taifa hili na hasa hapa Dar es Salaam, tumejipanga kwa mtu yoyote yule ambaye anaweza kufanya majaribio, sisi hatutamjaribu bali tutafanya kweli"

Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 3427001
Unapompa mshamba madaraka huwa anaona kila mtu ni sawa na house boy wake
 
Huyu ni mbwa anayebweka Hana madhara yoyote. Anapiga mikwara wakati Kuna raia alishushwa kwenye basi akauawa ndani ya mkoa wake na hakufanya chochote.
 
Kwanza chalamila ni MTU MFUPI hatakiwi kuwa mkuu wa mkoa.

Aende Congo akawe kijakazi wa M23.
 
"Tumejipanga na ndugu zangu kwamba hakuna sauti yoyote itakayotikisa amani ya taifa hili na hasa hapa Dar es Salaam, tumejipanga kwa mtu yoyote yule ambaye anaweza kufanya majaribio, sisi hatutamjaribu bali tutafanya kweli"

Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 3427001
Huyu ni mjukuu wa Mwalim Bernard Chalamila?
Yule babu alikua lazima apige viboko, ila alikuwa smart na tall, huyu agree halafu dwarfed
 
Hata uwanjani aende mwenyewe na wenye mamlaka wenziwe
 
"Tumejipanga na ndugu zangu kwamba hakuna sauti yoyote itakayotikisa amani ya taifa hili na hasa hapa Dar es Salaam, tumejipanga kwa mtu yoyote yule ambaye anaweza kufanya majaribio, sisi hatutamjaribu bali tutafanya kweli"

Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 3427001
Ajiulize mbabe magufuli yuko wapi na ubabe wake
 
Chalamila anapendaza kua katibu Mwenezi wa Chama taifa ya CPA Makalla Chalamila angeweza kufanya vizuri
 
Back
Top Bottom