Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,742
Msikilize Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila akitoa mawaidha wa Wakristu.
Mwanadamu anathaminiwa haka kama amekufa. Mtu anayefanya biashara hataki kupoteza hela kwa maiti. Kuna mtu alikuwa mfanyabiashara, hivyo kuhudumia maiti kwake ilikuwa kuleta hasara.....kuua mtaji for mtu ambaye hatafufuka. To me huo sio uungwana
sometimes mtoa ujumbe matters a lot. Kuna watu wana dini inclination katika doings zao zote. Huyu huwezi kumtenganisha ujumbe wake na dini yake. Akina Zito ni wakosoaji wazuri sana, lakini Samia hawamkosoi maana ni wa dini yao. Ukweli huo najua utaupinga.......Kwa kikubwa kuangalia ujumbe ni nini na siyo ametoa nani
Nenda kapige mswaki wewe domo lako linanuka sana,wewe sio wadini yako kakuzuiya nani kumkosoa?sometimes mtoa ujumba maaters a lot. Kuna watu wana dini inclination katika doings zao zote. Huyu huwezi kumtenganisha ujumbe wake na dini yake. Akina Zito ni wakosoaji wazuri sana, lakini Samia hawamkosoi maana ni wa dini yao. Ukweli huo najua utaupinga.......