lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Uhalisia wa binadamu yeyote unategemea tabia zake, na mtu yeyote anayesema maneno asiyoweza kuyatimiza (uongo) kutokuishi kwake ni bora kuliko kuishi kwake.
Vivyo hivyo kuwa mwenyekiti wa chama fulani wakati uhalisia wako ni ccm unaangukia kundi la waongo!
Vivyo hivyo kuwa mwenyekiti wa chama fulani wakati uhalisia wako ni ccm unaangukia kundi la waongo!