Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
- Thread starter
- #161
wao hawana njaa?njaa zitatuua, ogopa sana kuwa na kiongozi mwenye njaa, chadema MNA kiongozi,
wao hawana njaa?njaa zitatuua, ogopa sana kuwa na kiongozi mwenye njaa, chadema MNA kiongozi,
hapanaVipi kuhusu masuala ya Ccm ofisin kwake tunaruhusiwa?
kama makonda?Kiburi cha madaraka
Mkuu mpya wa mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghirwa amesema kwa sasa yeye anaitumikia serikali na anapokuwa ofisini anakuwa ana deal na mambo ya serikali tu na mtu asije ofisini kwake kuzungumzia masuala ya ACT kwani kama anataka kuzungumzia masuala hayo itakuwa ni kwenye ofisi za chama hicho.
Ndivyo, walivyo wanatumia wananchi, halafu wakiteuliwa wanakuacha nje .... Kweli kabisa usiamini wanasiasa.Hv isingekuwa ACT huyu mama angepata spotlight aliyoipata mpk Mkulu kamteua??Kama ndio, bas wanasiasa ni watu wa ajabu sana.
Kwa kweli sina maana siasa za bongo wanaziweza wenyewe tu ndo maana akana Slaa and co licha ya kuwa CHADEMA walikuwa na kadi za kijani kibindoniMkuu una uhakika gani kuwa hana kadi tayari?! Ataendesha vipi vikao vya chama kama yeye si mwanachama?!
Wakiisha hamia ccm huwa wanabadilika hata uwezo wao wa kujenga hoja sijui ccm huwa inawalisha nini
Ndio wamempa hiyo ofisiAseme tu agizo hilo haliwahusu CCM.
Anna Mghirwa ni nani : aliwahi kuwa mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Change and Transparency Tanzania, ACT wazalendo.
Unauliza wakati jibu unalijua ?Hapo ni ofisini kwake???
March 21, 2019
Dodoma Makao Makuu / Makao ya Bunge la Taifa
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh. Anna Mghirwa ameshindwa kujizuia kuongelea ACT-Wazaledo ingawa alishaomba watu wasimuulize kabisa masuala ya chama hicho alichokua mwanachama kabla ya kuteuliwa kuwa mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Hata hivyo baada ya Maalim Seif kujienga toka CUF. Mh. Anna Mghirwa alifunguka kuhusu yeye kushinda mbele ya TV na Redio kufuatilia habari hii ya Maalim Seif na hali mpya ya kisiasa Tanganyika na Zanzibar
ANNA MGHWIRA: SIJASHTUSHWA NA MAALIM SEIF KUHAMIA ACT - MSIKILIZE
Source: A-FMRadio Dodoma