Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,748
Wimbo mpya wa mnyakyusa wa kwanza WCB rayvany unaitwa chuma ulete wadau mnauonaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi ulikunja ndita, wataka mchele tani sita
Mama mbona wanitisha, kwani unafuturisha?
Teh mkuu mi mwenyewe huo ndo mstari unaonifurahisha maana ni utani huokiuhalisia kweli mke anaweza kutaka mchele tani sita?? au ndiyo kutafuta vina?
Tani sita ni magunia sitini ndugu yangu,au ulitaka aseme mchele kilo moja...?Teh mkuu mi mwenyewe huo ndo mstari unaonifurahisha maana ni utani huo
Hujamuelewa Daud Mchambuzi... Alichoshangaa yeye kiuhalisia mwanamke anaweza taka hizo gunia sitini ambazo ni sawa na tani 6? Au anataka afunguwe biashara ya kuuza mchele labdaTani sita ni magunia sitini ndugu yangu,au ulitaka aseme mchele kilo moja...?
Yawezekana kakuxhanganya kwakusema TANI,unadhani ni semitreila 6 zilizojaa,angesema gunia sitini wala usingeshangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata zingekuwa gunia 25 kwani alitaka kuanza biashara ya mcheleTani sita ni magunia sitini ndugu yangu,au ulitaka aseme mchele kilo moja...?
Yawezekana kakuxhanganya kwakusema TANI,unadhani ni semitreila 6 zilizojaa,angesema gunia sitini wala usingeshangaa.
Sent using Jamii Forums mobile app