MZEE MKUBWA
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 4,094
- 11,498
Huu mwandiko una elements za ray vany mwambie asisahau ule usemi wa mwenzio akinyolewa zako tia maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutukana makabila ya watu.Visafwa havina tofauti na vigogo, akili havina.
Ndio Yale Unajichomeka Kwenye Beef Ambalo Hata Halikuhusu.
Mwisho Wa Siku Diamond Akielewana Na Harmonize ( Maana Mgogoro Wao Ni Wa Maslahi ) Unabaki Umetoa Ulimi Nje Kama Mbwa Aliyeko HEAT.
TAKATAKA KABISA
Hata mimi kanikera sana huyo jamaa.Acha kutukana makabila ya watu.
Kama unahukumu kabila kwa kuangalia tabia na mienendo ya mtu mmoja, basi wewe kabila lako ni mavi kabisa, hiyo ni kulingana na takataka unazoandikaga humu JF.
Shithead!!!
Nadhani kuna watu wamemuaminisha kuwa kabila lake ndio kabila bora nchini.Hata mimi kanikera sana huyo jamaa.
Ni mbumbumbu pekee mwenye uwezo wa kulinganisha kabila na tabia ya mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikia upande mmoja hujasikia upande wa Rayvanny, je ni kweli aliwalipa anaweza kuprove alilosema?Pamoja na Jina la Harmonize kuwa kubwa ila inaonekana RayVanny kamzidi mkali huyo kwenye mapato. Kupitia Dizzim online jana Rayvany amefunguka vitu vingi juu ya beef la Harmonize na WCB Wasafi.
Amefunguka kwa kusema mwanzo alijua mwenye kosa ni Uongozi wa Wcb Wasafi akawa anawalaumu management yake kwa ukubwa sana. Anasema kipindi hicho Harmonize alikuwa anampigia Simu wanabonga zaidi ya Masaa matatu kwa siku.
Mara zote Harmonize alikuwa anaonekana kulaumu uongozi na kwamba yeye hakupenda kutoka Wcb Wasafi.
Ila mambo yakawa tofauti baada ya Harmonize kutoka Rasmi WCB. Kwa mujibu wa Rayvany inasemekana Harmonize alikuwa anawalipa Online TV ili wamlinganishe na Diamond ili kumkuza yeye na kumuonesha Diamond kwamba yeye ni mkali zaidi yake.
Amesisitiza kwa kusema alibariki kutoka kwa Harmonize na kwenda kujitafutia kivyake ingawa kwa upande wake yeye anasema bado yupo WCW.
Ameongeza kwa kusema yeye pia ana mkwanja mrefu hashindwi kujilipia video wala kusambaza ila anaamini bado Management yake ni sehemu sahihi maana hata akitoka WCW atataka Management ambayo pia lazima wagawane mapato.
Ameongeza kwakusema yeye anaingiza pesa nyingi mara tatu ya anazoingiza Harmonize kwenye Digital Platform. Hii maana yake Rayvany ana pesa kuliko Harmonize sema Harmonize MISIFA.
Rayvany amefunguka kukerwa na Uswahili wa Bwana Harmonize kwenye vitu kadhaa.
Mfano Nyimbo zake nje ya Wcb nyingi zina vijembe kwa WCB kama vile Kondegang wanaiogopa na kadhaa. CHOCHOTE CHA KUSEMA??
hii sio nzuri kuongelea mgogoro usiokuhusu...ila kwa vile wote mnapenda kiki then all the best katika kutafuta hizo kiki
Gari ilizimika kwa hitilafu gani?Duuh mzimikiwa na gari tabata anajisifu ana hela kuliko mwenzie kweli mbongo akimiliki mademu wakali na 10mil ndio keshakuwa na hela kuliko wenzie wote
Aliishiwa mafuta