periodic table
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 193
- 483
Hii performance yake kwenye uwanja wa Azam Chamazi kwenye tamasha la AZAMKA...ndio best show in 2022..
Keep it up chui...
Keep it up chui...
SawaHii performance yake kwenye uwanja wa Azam chamazi kwenye tamasha la AZAMKA...ndio best show in 2022..
Keep it up chui...
Tupiako basi kapicha sisi kina Thomaso tukuamini na tujiridhishe. La sivyo ni blah blah tu kama za wafuasi wa Raila Odinga.Hii performance yake kwenye uwanja wa Azam chamazi kwenye tamasha la AZAMKA...ndio best show in 2022..
Keep it up chui...
Aaah ila wanazi bhana wana mna kazi aiseee duuhNi kweli amejitahidi. Kwangu mimi katika matamasha yote ya mpira wa nchi yetu, niliyo bahatika kuangalia mwaka huu, Matokeo yake yako hivi;
1. Rayvany - Azam Festival 2022
2. Marioo - Week ya Mwananchi 2022
3. Harmonize - Singida Big Stars day
4. Zuchu - Simba day.
Naomba kuwasilisha.
Atayebisha hapa mkuu we MTUKANE TUUNi kweli amejitahidi. Kwangu mimi katika matamasha yote ya mpira wa nchi yetu, niliyo bahatika kuangalia mwaka huu, Matokeo yake yako hivi;
1. Rayvany - Azam Festival 2022
2. Marioo - Week ya Mwananchi 2022
3. Harmonize - Singida Big Stars day 2022.
4. Zuchu - Simba day 2022.
Naomba kuwasilisha.✍️
Huu ni mtazamo wangu tu mkurugenzi. Hivyo usitilie sana maanani.Aaah ila wanazi bhana wana mna kazi aiseee duuh
Huwezi kufanya kitulizeHakuna lolote ,ndio wale wale NYOOSHA MKONO...
KUSHOTO....KULIA...KUSHOTO....KULIA
Ndio maana hawa wanaojiita wasanii bongo siwezi kutoa hela yangu kwenda kwenye tamasha lao.
Yaani nitoe hela yangu badala ya wewe kuimba unaniimbisha mimi kwa kuzima zima miziki na kunifanyisha mazoezi ya kunyoosha mikono KULIA KUSHOTO. Sio mimi
Hakuna lolote ,ndio wale wale NYOOSHA MKONO...
KUSHOTO....KULIA...KUSHOTO....KULIA
Ndio maana hawa wanaojiita wasanii bongo siwezi kutoa hela yangu kwenda kwenye tamasha lao.
Yaani nitoe hela yangu badala ya wewe kuimba unaniimbisha mimi kwa kuzima zima miziki na kunifanyisha mazoezi ya kunyoosha mikono KULIA KUSHOTO. Sio mimi
😀😀😀😀😀😀😀😀Na ukinyoosha mikono juu ukishusha watu wamelamba wallet na simu. Matamasha yenyewe vumbi tupu na vibaka kibao.
Kwa hii attire kuna jipya kweli hapaVanny boy anavyosepa na KijijiView attachment 2323775
naungana na ww na ole wao ikitokea siku tukienda watuite mbwa tuko tumekaa paleeee tunamwagilia moyo na hennessy bariiddiiiiHakuna lolote ,ndio wale wale NYOOSHA MKONO...
KUSHOTO....KULIA...KUSHOTO....KULIA
Ndio maana hawa wanaojiita wasanii bongo siwezi kutoa hela yangu kwenda kwenye tamasha lao.
Yaani nitoe hela yangu badala ya wewe kuimba unaniimbisha mimi kwa kuzima zima miziki na kunifanyisha mazoezi ya kunyoosha mikono KULIA KUSHOTO. Sio mimi