Hilo suala la muda naonaga wengi mnalikazia sana ila mie hata halinisumbui.
Daaaah huwa naimagine maisha yangu bila pesa yatakuwaje ila huwa siwezi kukaa kufikiria maisha yangu bila mume yatakuwaje!
Pole yao wanaolilia waume eti kisa umri umeenda.....huwa siwaelewi!
Dah!
Mmemponda sana inatosho sasa mshaurini cha kufanya kwanza anastaili pongezi sababu kutoka alivyokuwa mpaka akakubali kushaurika na kupata dawa na bado akawa balozi mzuri wa kupinga madawa ya kulevya na ameshawishi wengi kupata dawa akiwa ni pamoja na Chid benz.
Jamani watanzania tuwe na haja moja la kupongeza ameonesha mfano mzuri tusiegemee sana kwenye persona interests zake make hatufikirii sawa kila mtu ana utashi wake na mtazamo wake lakini kwa jambo lenye maslahi mapana kwa jamii tulifikirie zaidi ya kujikita kwenye mambo ambayo ni yake binafsi.
Utakuwa umepigwa kibuti wewe.sio bure.
pole sana.....hali uliyonayo hua haiji hivi hivi tu
Hahah konda mie vibuti navisikiliziaga kwa wengine tu!
Hahah konda mie vibuti navisikiliziaga kwa wengine tu!
Mnavyo mkataa .duh! nahisi anajisikia vibaya sana .khaaa khaaaaa teh teh kwi kwi teh teh
Haaaaa baadae uje PM nikupe ubuyu wa Zanzibar...