Kukudume2013
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 1,659
- 736
Hii kitu haina ratiba kabisaaaa
Je hata ikawa wife yupo ktk danger time hamna ratiba?
Hii kitu haina ratiba kabisaaaa
mimi sina siku wala muda maalum wa kugegedana, hivi navyoaandika wife amenipigia simu kuwa kila mmoja atoroke kazini kwake ili tukapeane mambo ya uzazi, ndyo najiandaa kwenda sasa yeye ameshatangulia, yaani jinsi inavyokuwa "spontaneous" inakuwa ni romance ya kutosha kumlaanisha kila mtu mi nafika eneo la tukio kitu iko tayari na wife kitu yake nakuta imejiandaa, kinachobaki ni kufunga goli tu na kurudi maofisini kwetu.
Je hata ikawa wife yupo ktk danger time hamna ratiba?
mpaka alhamisi ya next wiki?@Daud omar
Heshima kwenu wadau,
Kumekuwa na migongano katika ndoa hasa kuhusu ratiba ya KUFANYANA
Hii ni kuhusu TENDO la ndoa linapaswa kufanywa mara ngapi kwa mfano kwa wifi?
Wengine huweka ratiba ya jumatatu, jumatano na ijumaa kama ndo siku ya kupiga mechi, inapotokea jumanne au jumamosi nina kiu ratiba ivunjwe au kufumiliana?
Au je linafanywa pale mmojawapo anaposikia hamu? na je kama mwenzako hajisikii kufanya TENDO?
Pale mmojawapo anapokuwan na hamu sana wakati mwenzake ni mogonjwa au ana tatizo la muda mrefu je avumilie tu kwa ajili ya kumridhisha mwenzake?
​
Karibuni kwa michango yenu ya kujenga na kuimarisha wanandoa
Pole kwako kuna ratiba? nijuavyo mie nikimhitaji hata kama nipo jikoni naacha kupika ananipa raha kupika baadae.
ratiba tena jamani? kha!!! mi naona ni suala la wawili kuridhishana/kushughulikiana pale mmoja au wote mnapokuwa na hamu ya tendo hilo...............hata km hujisikii ni vema ukavuta stimu ili umfurahishe mwenzako..sasa km usipomfurahisha wewe atafurahishwa na nani? au usaidiwe? hata iwe kila baada ya lisaa...ni kufurahishana na kuridhishana tu jamani...si mmependana?
mmh! Na kama kasafiri halafu umejisikia?
unatumia condom
Hamna na haipo ratiba ya tendo la ndoa kwa wana ndoa!