Ratiba ya tendo la ndoa

Ratiba ya tendo la ndoa

Lamchina

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
240
Reaction score
120
Heshima kwenu wadau,

Kumekuwa na migongano katika ndoa hasa kuhusu ratiba ya KUFANYANA
Hii ni kuhusu TENDO la ndoa linapaswa kufanywa mara ngapi kwa mfano kwa wifi?
Wengine huweka ratiba ya jumatatu, jumatano na ijumaa kama ndo siku ya kupiga mechi, inapotokea jumanne au jumamosi nina kiu ratiba ivunjwe au kufumiliana?
Au je linafanywa pale mmojawapo anaposikia hamu? na je kama mwenzako hajisikii kufanya TENDO?
Pale mmojawapo anapokuwan na hamu sana wakati mwenzake ni mogonjwa au ana tatizo la muda mrefu je avumilie tu kwa ajili ya kumridhisha mwenzake?
​
Karibuni kwa michango yenu ya kujenga na kuimarisha wanandoa
 
Ratiba ya nini, wakati nyenzo na zana za shughuli kila wakati mko nazo?
 
Ratiba, ratiba, ratiba
Ndoa inataka ratiba ya k#tombana,
Huku k#tombana ikiwa ni haki ya msingi ya ndoa.
Haki ina ratiba ya kutolewa?
Sio kila mtu akiihitaji anaangalia maziingira na kutoa?

Bazazi haelewi kitu kinaitwa ratiba
 
Kwhyo unataka tukupangie ratiba?? Ama tukupe za kwetu?? Sijaelewa unajua, ila mim binafsi nakulaga kila Alhamisi
 
Ratiba!!

Sijawahi kusikia... japo kuona siwezi labda nisikie na kuona hapa!

Kwa uelewa wangu pale unapojiskia(hamu) na upo tayari kwa tendo na mazingira yanaruhusu waweza fanya na mwenzi wako

Na ni vizuri na inatia raha kama wote wawili mpo katika hali hiyo
 
...wewe kweli bazazi...hahahahahahahahh!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ratiba, ratiba, ratiba
Ndoa inataka ratiba ya k#tombana,
Huku k#tombana ikiwa ni haki ya msingi ya ndoa.
Haki ina ratiba ya kutolewa?
Sio kila mtu akiihitaji anaangalia maziingira na kutoa?

Bazazi haelewi kitu kinaitwa ratiba
 
ratiba tena jamani? kha!!! mi naona ni suala la wawili kuridhishana/kushughulikiana pale mmoja au wote mnapokuwa na hamu ya tendo hilo...............hata km hujisikii ni vema ukavuta stimu ili umfurahishe mwenzako..sasa km usipomfurahisha wewe atafurahishwa na nani? au usaidiwe? hata iwe kila baada ya lisaa...ni kufurahishana na kuridhishana tu jamani...si mmependana?
Heshima kwenu wadau,

Kumekuwa na migongano katika ndoa hasa kuhusu ratiba ya KUFANYANA
Hii ni kuhusu TENDO la ndoa linapaswa kufanywa mara ngapi kwa mfano kwa wifi?
Wengine huweka ratiba ya jumatatu, jumatano na ijumaa kama ndo siku ya kupiga mechi, inapotokea jumanne au jumamosi nina kiu ratiba ivunjwe au kufumiliana?
Au je linafanywa pale mmojawapo anaposikia hamu? na je kama mwenzako hajisikii kufanya TENDO?
Pale mmojawapo anapokuwan na hamu sana wakati mwenzake ni mogonjwa au ana tatizo la muda mrefu je avumilie tu kwa ajili ya kumridhisha mwenzake?
​
Karibuni kwa michango yenu ya kujenga na kuimarisha wanandoa
 
Ratiba, ratiba, ratiba
Ndoa inataka ratiba ya k#tombana,
Huku k#tombana ikiwa ni haki ya msingi ya ndoa.
Haki ina ratiba ya kutolewa?
Sio kila mtu akiihitaji anaangalia maziingira na kutoa?

Bazazi haelewi kitu kinaitwa ratiba
sexy-time.jpg
 
....should be voluntary....corresponding to the needs
 
Heshima kwenu wadau,

Kumekuwa na migongano katika ndoa hasa kuhusu ratiba ya KUFANYANA
Hii ni kuhusu TENDO la ndoa linapaswa kufanywa mara ngapi kwa mfano kwa wifi?
Wengine huweka ratiba ya jumatatu, jumatano na ijumaa kama ndo siku ya kupiga mechi, inapotokea jumanne au jumamosi nina kiu ratiba ivunjwe au kufumiliana?
Au je linafanywa pale mmojawapo anaposikia hamu? na je kama mwenzako hajisikii kufanya TENDO?
Pale mmojawapo anapokuwan na hamu sana wakati mwenzake ni mogonjwa au ana tatizo la muda mrefu je avumilie tu kwa ajili ya kumridhisha mwenzake?
​
Karibuni kwa michango yenu ya kujenga na kuimarisha wanandoa

Kwa kawaida, kuna ratiba za UEFA, Champions league, ratiba za kazi, usafi, mikutano nk. Linapokuja suala la ndoa na mahusiano yake, hii ni taasisi inayojitegemea na ni tofauti kabisa na taasisi nyingine zozote.

Huku kwenye ndoa hakuna ratiba, na ukiweka ratiba utaishia kwenye migogoro ya kila mara! Huku kuna ubunifu na utundu ambao hutumika kumjengea mke/mume hamu ya kulishirikia hata kama hataki na siyo kuwekeana ratiba kana kwamba shughuli hiyo ni ya kiserikali!

Ratiba zinafanya jambo hilo lisiwe la starehe na badala yake kuonekana kama "routine work" ambayo hupunguza hamu. Zaidi ya hapo inafanya tendo kuwa "too formal" kuleta starehe. Tendo la ndoa kwa wenye ndoa ni starehe, hivyo hao wahusika wawili wanatakiwa kuwa wabunifu, it is an art na inahitaji creativitiness ndugu yangu. Achana na maratiba, hayana tija!
 
Kama kasafiri mpigie simu mutakojozana kwenye simu
 
mimi sina siku wala muda maalum wa kugegedana, hivi navyoaandika wife amenipigia simu kuwa kila mmoja atoroke kazini kwake ili tukapeane mambo ya uzazi, ndyo najiandaa kwenda sasa yeye ameshatangulia, yaani jinsi inavyokuwa "spontaneous" inakuwa ni romance ya kutosha kumlaanisha kila mtu mi nafika eneo la tukio kitu iko tayari na wife kitu yake nakuta imejiandaa, kinachobaki ni kufunga goli tu na kurudi maofisini kwetu.
 
kwanza ukitumia ratiba halinogi,hiyo ni sawa na kutupa hela na kwenda kuikota.kitu kushtukiza ndiyo mipango ya ndoa.kama unatoka kazini ukiikumbuka unapiga cm unapita dukani au super market na kumsuprise.ukifika unakuta kitu kimelowa kinakusubiri.
 
Pole kwako kuna ratiba? nijuavyo mie nikimhitaji hata kama nipo jikoni naacha kupika ananipa raha kupika baadae.


mwambie bidada,haina ratiba hiyo.mi huwa namfuata waif hata bafuni.akikatiza tu mbele yangu na ka kanga moko kake anakwenda kwa bafu,nikitia chabo tu afu mzee akainuka huwa namfuata hukohuko ananipa kamoko saaafiii kabisa
 
Pole kwako kuna ratiba? nijuavyo mie nikimhitaji hata kama nipo jikoni naacha kupika ananipa raha kupika baadae.

labda kama ni mama wa nyumbani,wanaofanya kazi wana kiburi sana, kila siku atakuambia amechoka kazini,foleni etc,hivyo kuwa na nafasi ya kukupa siku za jmosi na jumapili tuu
 
Kama kasafiri mpigie simu mutakojozana kwenye simu

inaelekea mwalim wako wa kiswahili aliiruka topic fulani muhim sana! Hata tafsida huna mkuu? Punguza ukali wa maneno
 
Heshima kwenu wadau,

Kumekuwa na migongano katika ndoa hasa kuhusu ratiba ya KUFANYANA
Hii ni kuhusu TENDO la ndoa linapaswa kufanywa mara ngapi kwa mfano kwa wifi?
Wengine huweka ratiba ya jumatatu, jumatano na ijumaa kama ndo siku ya kupiga mechi, inapotokea jumanne au jumamosi nina kiu ratiba ivunjwe au kufumiliana?
Au je linafanywa pale mmojawapo anaposikia hamu? na je kama mwenzako hajisikii kufanya TENDO?
Pale mmojawapo anapokuwan na hamu sana wakati mwenzake ni mogonjwa au ana tatizo la muda mrefu je avumilie tu kwa ajili ya kumridhisha mwenzake?
​
Karibuni kwa michango yenu ya kujenga na kuimarisha wanandoa
Mie ratiba yangu hupangwa na Mungu zile siku ninazokuwa "anga za mbali". Zaidi ya hapo, "wakati wowote ni wakati wa chai"
 
Back
Top Bottom