Ratiba ya mgao wa umeme Tz

revolution redeemX2
It has been a revolution, to make a solution, too much confusion...... bob kaimba hiyooo yaani siku si nyingi mtasikia kuna revolution!!!!! magamba you are a devil himself, lucifer na majina yooote anayoitwa shetani hapa duniani. hii tabu isingekuwepo ila nyie CCM na ujuha wenu. JAH will never give the power to the baldhead!!!!!!!!?!
 
Lisemwalo lipo kuna mda mfupi sana uliobaki usiozidi wk1 kabla mtera haijazimwa,hapo hapatakuwa tena na umeme na mtaani hakutakalika,tujiandae kwenda ikulu kuchukua mamlaka yetu kama Malawi wanavyofanya make najua lengo hapa ni mpaka dec9 mitambo yote iwe imezimwa kabisa na nchi iko gizani
 
TANESCO wala msiwe na wasiwasi.

Acha tuvune tulichopanda maana akili zetu ni ZINA AKILI SANA.

Nyie pelekeni tu hadi LIGOTAGE ukutani na likisimama, mwaweza kuteremka na mkauza hadi HQ ya TANESCO.

Sisi Sikonge mambo ni MSWANO sana maana Koroboi zimeshafanya hadi Pua ziwe zinatoka maji meusi ukiamka asubuhi.
 
Na mna bahati bongo siku hizi kuna ka-baridi, likija joto mtaomba turudie kuhesabu kura za urais!!
 
This is a failed state period,tupo kwenye mgao masaa 18 muda mwingi tuu,Tanesco wamesha wafanya watu maskini vifaa vya ndani vimeungua,watu hawana tena namna ya kuishi baada ya shughuli , zao zote we have an incompetent President and this ia a fact,(Counting down the lost ten years eish )
 
Wapi FF mtetezi wa serikali na Tanesco, msemaji wa Tanesco anakiri mambo ni magumu halafu FaizaFoxy anasema serikali ya Kikwete imejitahidi kuliko serikali zilizopita.
 
This is a failed state period,tupo kwenye mgao masaa 18 muda mwingi tuu,Tanesco wamesha wafanya watu maskini vifaa vya ndani vimeungua,watu hawana tena namna ya kuishi baada ya shughuli , zao zote we have an incompetent President and this ia a fact,(Counting down the lost ten years eish )

Tunawalaumu Tanesco kila mara but CCM imekuwa na History ya kuua mashirika ya umma kwa njia mbalimbali za kiwizi. watendaji wa Shirika hili nao nyodo za kirushwa nazo zimechangia kwa kiasi kikubwa! Lakini sehemu kubwa Wizara husika katika kikataba yake ndio nyundo ya kuua shirika hili. Take example : richmond, IPTl n.k.
 
Tunawalaumu Tanesco kila mara but CCM imekuwa na History ya kuua mashirika ya umma kwa njia mbalimbali za kiwizi. watendaji wa Shirika hili nao nyodo za kirushwa nazo zimechangia kwa kiasi kikubwa! Lakini sehemu kubwa Wizara husika katika kikataba yake ndio nyundo ya kuua shirika hili. Take example : richmond, IPTl n.k.

Mkuu hayo usemayo ni sahihi kabisa ndio maana tunasema wakati umefika serekali iliyoshindwa iondoke na kupisha inayoweza !
 
nafikiri hata mungu hapa ametuachia tuamue,ameshatupa green light siku nyingi,ni sisi tu hatuondoki
 
Ni bora tanesco mkatoa ratiba ya mgao wa umeme.kwani sasa tunaathirika sana na huu mgao usio na ratiba.
 
Ni kweli mkuu. Itatusaidia hata sisi watumiaji kuwa na ratiba kwa shughuli zinazo hitaji umeme kuliko kubahatisha.
 
hivi wafanyakazi wote wa tanesco huws wanaenda ofisini kufanya kazi gani au ndo kuzima na kuwasha mgawo wa umeme.
 
naboreka sana na huu mgao usio na ratiba maalum unaoendelea hivi sasa, yaani tunashindwa hata kupasi nguo kwani hatujui umeme unakatika mda gani na unarudi mda gani...
 
Na mna bahati bongo siku hizi kuna ka-baridi, likija joto mtaomba turudie kuhesabu kura za urais!!
<br />
<br />
Mkuu hilo lingewezekana tungefanya hivyo kwa haya yanayotukumba kwa sasa
 
Mabadiliko hayaji kwa maneno matupu bali yaja kwa vitendo so waTZ take action
 
Back
Top Bottom