Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,218
- 219,394
Si kwamba tunagombea Msiba la hasha , kwa mfano Viongozi wa Chadema hawana habari ya Mambo hayo , bali tunachotaka kifahamike ni kwamba Ubaguzi kwenye masuala ya Misiba na hasa misiba ya waliowahi kuhudumu kwenye upinzani ni jambo la kutia aibu