Ratiba ya mapokezi ya Wabunge wa UKAWA

Ratiba ya mapokezi ya Wabunge wa UKAWA

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Kutakuwa na Mapokezi makubwa ya Wabunge wa UKAWA. Kutoka Dodoma, wananchi watawapokea njiani na kuwasindikiza mpaka Dar Routes; watapokewa Kibaigwa, kisha Mdaula, Chalinze, Ruvu Darajani, Mlandizi, Kibaha Mjini, Mbezi Mwisho,Na hatimae Jangwani au Mwembeyanga.

Siku kamili, Loading.
 
Wajiadhari na mwendo kasi...kwenye njia hiyo...kama ni kweli.
 
Safi sana. JK akajivunjie bunge lao wenyewe.
 
Kibo10

jamani jamani tupeni siku kamili lini.....................
 
Last edited by a moderator:
Ingefaa wakati yeye anavunja bunge Dodoma wao wako jangwani wanajadili mdwada wa gesi
 
Upuzi huo nikuwafanya kuvimba vichwa vyao, kwalipi walilo fanya 2010-2015
 
wakifika watwambie walichotumwa na mengi pamoja na waingereza juu ya mswaada wa gesi na mafuta.
 
Back
Top Bottom