Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Kutakuwa na Mapokezi makubwa ya Wabunge wa UKAWA. Kutoka Dodoma, wananchi watawapokea njiani na kuwasindikiza mpaka Dar Routes; watapokewa Kibaigwa, kisha Mdaula, Chalinze, Ruvu Darajani, Mlandizi, Kibaha Mjini, Mbezi Mwisho,Na hatimae Jangwani au Mwembeyanga.
Siku kamili, Loading.
Siku kamili, Loading.