Nswima John Edward
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 612
- 312
Tulianza na Mungu na tumemaliza na Mungu,wao wanapesa CCM sisi Chadema tunaMUNGU tunayempigania
Hii yote itagharimu kiasi gani?
He has won the case, maisha yaendelee.
Hizi sarakasi za mapokezi na maonyesho itatofautisha vipi CHADEMA na CCM.
Nilidhania watu watashauri gharama, fedha na resource hizo zipelekwe somewhere else. Arusha tayari ngome yenu. Pelekeni hizo nguvu sehemu nyingine.
Mnawapa maadui wenu points rahisi sana. Kesho UHURU likiandika "Mbowe na Lema wachoma mabilioni ya chama kusheherekea ushindi" mtashangaa?
Washabiki wa CHADEMA wana hatari ya kukiua chama chao zaidi hata ya CCM. Kwa mfano baadhi ya washabiki wengi wanapenda slogan ya "tumeanza na mungu, tumemaliza na mungu". Kwenye siasa kuna mungu? Jifunzeni kutenganisha siasa na mungu.
Katika mazingira haya ya udini ukisema "umeanza na mungu, umemaliza na mungu" ni waislam wangapi watakua tayari kuwa wanachama? Wao si watahoji Allah yupo wapi? Wahindi nao? Wasio na dini je? Chama hakina dini, mwacheni mungu wenu huko huko. Hapa shabikieni itikadi na sera za chama.
Washabiki wa CHADEMA wana hatari HATA JIWE LAWEZA KUWA MUNGU WAKO,
Hapana.ivi umekwenda shule?
Kwa taarifa yako mikutano ya cdm haina gharama coz hatuhitaji kugawa 2000 wala kukodisha lori.
Mungu kwa kiarabu anaitwa allah ,sasa sijui unauliza kitu gani ndugu ! Maana huku tunaongea kiswahili .
Kuhusu mungu, dini na imani.. Elewa misingi ya kutochanganya siasa na dini. Leo hii ukiulizwa CHADEMA ni dini gani au inabudu mungu yupi, jibu ni kwamba haina dini wala mungu. Kuna wanachama wa imani tofauti na kuna wasioamini mungu.
Unaelewa kwamba sasa hivi kuna mazingira na harufu ya udini. Mfano ni majibizano na michango ya members hapa. Sasa kama CHADEMA inashutumiwa kuwa chama cha kikristu na wewe unasema "tulianza na mungu, tunamaliza na mungu" .. Hii slogan itatafsirika vipi?
Siasa na dini/mungu havichanganywi. Dini/mungu, that's your personal thing.
Kuhusu mungu, dini na imani.. Elewa misingi ya kutochanganya siasa na dini. Leo hii ukiulizwa CHADEMA ni dini gani au inabudu mungu yupi, jibu ni kwamba haina dini wala mungu. Kuna wanachama wa imani tofauti na kuna wasioamini mungu.
Unaelewa kwamba sasa hivi kuna mazingira na harufu ya udini. Mfano ni majibizano na michango ya members hapa. Sasa kama CHADEMA inashutumiwa kuwa chama cha kikristu na wewe unasema "tulianza na mungu, tunamaliza na mungu" .. Hii slogan itatafsirika vipi?
Siasa na dini/mungu havichanganywi. Dini/mungu, that's your personal thing.
Matumizii mabaya ya ruzuku mkuu ,
Hii yote itagharimu kiasi gani?
He has won the case, maisha yaendelee.
Hizi sarakasi za mapokezi na maonyesho itatofautisha vipi CHADEMA na CCM.
Nilidhania watu watashauri gharama, fedha na resource hizo zipelekwe somewhere else. Arusha tayari ngome yenu. Pelekeni hizo nguvu sehemu nyingine.
Mnawapa maadui wenu points rahisi sana. Kesho UHURU likiandika "Mbowe na Lema wachoma mabilioni ya chama kusheherekea ushindi" mtashangaa?
Washabiki wa CHADEMA wana hatari ya kukiua chama chao zaidi hata ya CCM. Kwa mfano baadhi ya washabiki wengi wanapenda slogan ya "tumeanza na mungu, tumemaliza na mungu". Kwenye siasa kuna mungu? Jifunzeni kutenganisha siasa na mungu.
Katika mazingira haya ya udini ukisema "umeanza na mungu, umemaliza na mungu" ni waislam wangapi watakua tayari kuwa wanachama? Wao si watahoji Allah yupo wapi? Wahindi nao? Wasio na dini je? Chama hakina dini, mwacheni mungu wenu huko huko. Hapa shabikieni itikadi na sera za chama.
Tulianza na Mungu na tumemaliza na Mungu,wao wanapesa CCM sisi Chadema tunaMUNGU tunayempigania
Hii yote itagharimu kiasi gani?
He has won the case, maisha yaendelee.
Hizi sarakasi za mapokezi na maonyesho itatofautisha vipi CHADEMA na CCM.
Nilidhania watu watashauri gharama, fedha na resource hizo zipelekwe somewhere else. Arusha tayari ngome yenu. Pelekeni hizo nguvu sehemu nyingine.
Mnawapa maadui wenu points rahisi sana. Kesho UHURU likiandika "Mbowe na Lema wachoma mabilioni ya chama kusheherekea ushindi" mtashangaa?
Washabiki wa CHADEMA wana hatari ya kukiua chama chao zaidi hata ya CCM. Kwa mfano baadhi ya washabiki wengi wanapenda slogan ya "tumeanza na mungu, tumemaliza na mungu". Kwenye siasa kuna mungu? Jifunzeni kutenganisha siasa na mungu.
Katika mazingira haya ya udini ukisema "umeanza na mungu, umemaliza na mungu" ni waislam wangapi watakua tayari kuwa wanachama? Wao si watahoji Allah yupo wapi? Wahindi nao? Wasio na dini je? Chama hakina dini, mwacheni mungu wenu huko huko. Hapa shabikieni itikadi na sera za chama.