Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,732
- 750
Ratiba ya Lema Kesho:
Mapokezi KIA kuanzia Philips saa 2:00 Asubuh
Kwenda kufungua ofisi ya Mbunge kuanzia saa 5:00 Asubuhi
Ukaguzi wa Barabara Zilizojengwa kuanzia saa 6:00 Mchana
Kusalimia akina mama waliomuombea sokoni 7:00 Mchana
Mkutano Kilombero saa 8:00 Mchana
WOOTE MNAKARIBISHWA!
Msafara utakuwa unaongozwa na Wabunge wa Chadema toka Dar es salaam na utahutubiwa na viongozi wa Kitaifa. Msafara huo pia utaongozwa na Helkopta, pikipiki, magari, baiskeli na watembea kwa miguu, maandamano yataanzia Philips hadi ofisi za Mbunge kuelekea viwanja vya kilombero!
Peeoplesssssss!
Mapokezi KIA kuanzia Philips saa 2:00 Asubuh
Kwenda kufungua ofisi ya Mbunge kuanzia saa 5:00 Asubuhi
Ukaguzi wa Barabara Zilizojengwa kuanzia saa 6:00 Mchana
Kusalimia akina mama waliomuombea sokoni 7:00 Mchana
Mkutano Kilombero saa 8:00 Mchana
WOOTE MNAKARIBISHWA!
Msafara utakuwa unaongozwa na Wabunge wa Chadema toka Dar es salaam na utahutubiwa na viongozi wa Kitaifa. Msafara huo pia utaongozwa na Helkopta, pikipiki, magari, baiskeli na watembea kwa miguu, maandamano yataanzia Philips hadi ofisi za Mbunge kuelekea viwanja vya kilombero!
Peeoplesssssss!