prosper cliff
JF-Expert Member
- Jan 19, 2017
- 647
- 662
Ccm hawajielew wanafkiri nkwenda na nyaishoz kuna lami kama mh lissu alienda Ukerew kwa mtumbwi lkn ccm hawalijui hilo wao wanawaza barabara2Mkuu, Muulize huyo mgombea wa chakubanga yeye kaenda vijiji vipi? Kama kila mikutano 3 anakata Moto! Afya mbovu watamuua huyo mzee wa roho mbaya
Ukerew na lulenge kuna rami? ?Hivyo vyote vimiji viko kando ya barabara ya lami za Magufuli
Lisu kapita tu kama mtalii
Alipohutubia barabarani hakuingia ndani vijijiniUlidanganywa na nani nyakahiga na lulenge ni kando ya barabara tena ya lami tatzo hamtembei
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Alihutubia Rulenge pale mjini na Ukerewe pale mjini huyo akaondoka anacheka Cheka kuwa nimepiga kampeni hasa.Rulenge ilivyo kubwa kuhutubia tu mjini utasema umepiga kampeni kubwa? Ukerewe ilivyo kubwa unahutubia tu pale mjini utajidai ohhh Mimi ukerewe nimepiga kampeni hasa?
Mbona mgombea wenu na mabango yake amelala2 hawez kufany kampein hadi kiyoyoz na saiz hadi mbuz wamemchok wanakula mabango yakAlihutubia Rulenge pale mjini na Ukerewe pale mjini huyo akaondoka anacheka Cheka kuwa nimepiga kampeni hasa.Rulenge ilivyo kubwa kuhutubia tu mjini utasema umepiga kampeni kubwa? Ukerewe ilivyo kubwa unahutubia tu pale mjini utajidai ohhh Mimi ukerewe nimepiga kampeni hasa?
Lisu ni mzururaji tu wa mijini hayuko kwenye kampeni
Huko atamtuma waziri mkuuJamani Mtwara mbona katusahau?
Ratiba inapangwa na wagombea halafu wanapeleka tume ili tume wasigonganishe wagombea sehemu moja.Ratiba ya kipuuzi anarudi Dodoma na Singida na Tanga kufanya nini? Hawa NEC ni vimeo kabisa.
Show za lissu hazina wasanii wala mabango wala Malori lkn zinawatoa kamasiAlipifika Chato Lisu alinywea hakuthubutu kuongelea ndege wala uwanja was Chato
Alipohutubia barabarani hakuingia ndani vijijini
Anahutubia tu sehemu za nje zilizo barabarani tu .Yeye in mtu wa vimiji vya mabarabarani tu
Sio kweli wew mataga Nec ndyo watoa ratiba ukipeleka yako 95%wanaikataliaRatiba inapangwa na wagombea halafu wanapeleka tume ili tume wasigonganishe wagombea sehemu moja.
Kwa hiyo hapo mpuuzi ni Lissu siyo NEC, aliyeomba hiyo ratiba ni Lissu NEC waliidhinisha tuu.
Nanyumbu na Newala ni Mtwara. Punguza uzezeta mkuu.Jamani Mtwara mbona katusahau?
Hadi na Mtumbwi mkuuTundu ni jeshi Aisee...pumzi aliyonayo ni balaa. Halafu anatumia barabara
Singida ni nyumbani kwake, Sasa akikosa kura kwao atapata wapi Tena? Acha arudierudie Hadi wamwelewe.Tar 25 si bora angerudi tena huku Iringa na Mbeya?
Sijaona sababu ya kurudiarudia hyo Singida.
HUYU jamaa....haijawahi kutokea!!
Yeye mwenyewe ni ze comedy toshaShow za lissu hazina wasanii wala mabango wala Malori lkn zinawatoa kamasi
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Fikiria hiyo chemba-singida-ikungi inamaana atapasua njia ya kwa mtoro ya vumbi hadi singida.
Lisu anazurura kwenye vimiji tu hapo
Ngoma iko vijijini kwenye wapiga kura asilimia 80 wa mijini ni asilimi 20 tu!!!
Anahangaika kutafuta kura kwenye asilimia 20!!! MIJINI ambako na CCM TUPO TENA sana tu.
VIJIJINI ndio nyumbani kwetu CCM kila kijiji tupo na tawi la CCM lipo na team za kampeni zipo
MIJINI ndiko tunalala
.Lisu anazurura mijini na maeneo yenye barabara za lami za Magufuli!!! Gari yake isipate vumbi!! CCM VIJIJI VYOTE nchi nzima tumesha cover kwa kampeni.Hatujaachakijiji hata kimoja
Singida hawamtaki toka awe mbunge hajawahi hata kuwasemea chochote hawataki .Kule watu wana misimamo ya kufa mtuSingida ni nyumbani kwake, Sasa akikosa kura kwao atapata wapi Tena? Acha arudierudie Hadi wamwelewe.
Pamoja na ratiba hii lakini jamaa anajaza watu sio mchezo! Hii ratiba mtukufu yule na yeye apewe ya mikutano minne kwa siku kama hajakata moto! Niletee Gwajima, Nileteeeni Gwajima, Nileteeeeeeni Gwajima.RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.
TAREHE 18.10.2020
1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU
TAREHE 19.10.2020
1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI
TAREHE 20.10.2020
1. MWANGA
2. LUSHOTO
TAREHE 21.10.2020
1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN
TAREHE 22.10.2020
1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA
TAREHE 23.10.2020
1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU
TAREHE 24.10.2020
1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA
TAREHE 25.10.20201
1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI
TAREHE 26.10.2020
1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI
TAREHE 27.10.2020
DAR ES SALAAM STAND UP .
TAREHE 28.10. 2020
KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.
Share kila mtu aipate ratiba hii
Alphonce Shadrack Paul