Uchaguzi 2020 Ratiba ya Kampeni ya Mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuanzia Oktoba 18 - 27, 2020

Mkuu, Muulize huyo mgombea wa chakubanga yeye kaenda vijiji vipi? Kama kila mikutano 3 anakata Moto! Afya mbovu watamuua huyo mzee wa roho mbaya
Ccm hawajielew wanafkiri nkwenda na nyaishoz kuna lami kama mh lissu alienda Ukerew kwa mtumbwi lkn ccm hawalijui hilo wao wanawaza barabara2

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Alipifika Chato Lisu alinywea hakuthubutu kuongelea ndege wala uwanja was Chato
Ulidanganywa na nani nyakahiga na lulenge ni kando ya barabara tena ya lami tatzo hamtembei

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Alipohutubia barabarani hakuingia ndani vijijini

Anahutubia tu sehemu za nje zilizo barabarani tu .Yeye in mtu wa vimiji vya mabarabarani tu
 
Ukerew na lulenge kuna rami? ?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Alihutubia Rulenge pale mjini na Ukerewe pale mjini huyo akaondoka anacheka Cheka kuwa nimepiga kampeni hasa.Rulenge ilivyo kubwa kuhutubia tu mjini utasema umepiga kampeni kubwa? Ukerewe ilivyo kubwa unahutubia tu pale mjini utajidai ohhh Mimi ukerewe nimepiga kampeni hasa?

Lisu ni mzururaji tu wa mijini hayuko kwenye kampeni.Kipigo atakachopata tarehe 28 October Huyo mbelgiji mzurura mijini haji kukisahau
 
Alihutubia Rulenge pale mjini na Ukerewe pale mjini huyo akaondoka anacheka Cheka kuwa nimepiga kampeni hasa.Rulenge ilivyo kubwa kuhutubia tu mjini utasema umepiga kampeni kubwa? Ukerewe ilivyo kubwa unahutubia tu pale mjini utajidai ohhh Mimi ukerewe nimepiga kampeni hasa?

Lisu ni mzururaji tu wa mijini hayuko kwenye kampeni
Mbona mgombea wenu na mabango yake amelala2 hawez kufany kampein hadi kiyoyoz na saiz hadi mbuz wamemchok wanakula mabango yak
Heli mtembea bure sio sawa na mkaa bure

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Ratiba ya kipuuzi anarudi Dodoma na Singida na Tanga kufanya nini? Hawa NEC ni vimeo kabisa.
Ratiba inapangwa na wagombea halafu wanapeleka tume ili tume wasigonganishe wagombea sehemu moja.
Kwa hiyo hapo mpuuzi ni Lissu siyo NEC, aliyeomba hiyo ratiba ni Lissu NEC waliidhinisha tuu.
 
Alipifika Chato Lisu alinywea hakuthubutu kuongelea ndege wala uwanja was Chato

Alipohutubia barabarani hakuingia ndani vijijini

Anahutubia tu sehemu za nje zilizo barabarani tu .Yeye in mtu wa vimiji vya mabarabarani tu
Show za lissu hazina wasanii wala mabango wala Malori lkn zinawatoa kamasi

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Show za lissu hazina wasanii wala mabango wala Malori lkn zinawatoa kamasi

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Yeye mwenyewe ni ze comedy tosha
Nenda kaulize yeyote aliyehudhuria mikutano ya Lisu muulize Lisu alisemaje mkutano watakwambia hawakumbuki

Mgombea pekee ambaye watu hawamwelewi anaongea nini ni Lisu

Hata humu jamii forums waliacha kuandika alichosema wanapist tu ohh mapokezi ya Lisu mahali Fulani na picha za kuchakachua za waliohudhuria basi

Hawaandiki alichosema sababu hakipo!!!
 
Lisu anazurura kwenye vimiji tu hapo

Ngoma iko vijijini kwenye wapiga kura asilimia 80 wa mijini ni asilimi 20 tu!!!

Anahangaika kutafuta kura kwenye asilimia 20!!! MIJINI ambako na CCM TUPO TENA sana tu.

VIJIJINI ndio nyumbani kwetu CCM kila kijiji tupo na tawi la CCM lipo na team za kampeni zipo

MIJINI ndiko tunalala

.Lisu anazurura mijini na maeneo yenye barabara za lami za Magufuli!!! Gari yake isipate vumbi!! CCM VIJIJI VYOTE nchi nzima tumesha cover kwa kampeni.Hatujaachakijiji hata kimoja

Kwani humo njiani anamosimamishwa huwa ni miji kwenda huko na ujinga wako na madiwani watafanya wapi kampeni hivi kuna mgombea wa urais amewahi kwenda vijijini kutafuta kura hata hao wa CCM. Sijui kwanini huwa comment zako hazina maana kiasi. Mgombea wenu hata miji imemshinda kila akifanya siku moja garage halafu unamsema Lissu, ratiba ya meko iko wapi au hadi apige simu kuwa leo naenda ndipo atayarishiwe
 
Singida ni nyumbani kwake, Sasa akikosa kura kwao atapata wapi Tena? Acha arudierudie Hadi wamwelewe.
Singida hawamtaki toka awe mbunge hajawahi hata kuwasemea chochote hawataki .Kule watu wana misimamo ya kufa mtu

Sasa anaogopa kuwa akikosa kura kwake itakuwaje? Chadema watamfukuza kuwa hana faida kwenye chama chao
 
RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.

TAREHE 18.10.2020

1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU

TAREHE 19.10.2020

1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI

TAREHE 20.10.2020

1. MWANGA
2. LUSHOTO

TAREHE 21.10.2020

1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN

TAREHE 22.10.2020

1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA

TAREHE 23.10.2020

1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU

TAREHE 24.10.2020

1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA

TAREHE 25.10.20201

1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI

TAREHE 26.10.2020

1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI

TAREHE 27.10.2020

DAR ES SALAAM STAND UP .

TAREHE 28.10. 2020

KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.

Share kila mtu aipate ratiba hii

Alphonce Shadrack Paul
Pamoja na ratiba hii lakini jamaa anajaza watu sio mchezo! Hii ratiba mtukufu yule na yeye apewe ya mikutano minne kwa siku kama hajakata moto! Niletee Gwajima, Nileteeeni Gwajima, Nileteeeeeeni Gwajima.
 
88 Reactions
Reply
Back
Top Bottom