Uchaguzi 2020 Ratiba ya Kampeni ya Mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuanzia Oktoba 18 - 27, 2020

Jamani vipi kuhusukutumia chopper......maana ratiba iko tight kinyama ....au ndiyo basi tena baada ya Kibali kuzingua

Angekubaliwa chopper ingerahisisha kuwafikia wananchi na wapigakura hasa hizi dakika za lala salama.....

Hafu namkumbusha kima cha chini mshahara kiwe 700,000.....maisha magumu
Chopa tayari ipo kazini kitambo…...Alianzia Karatu nadhani kuibuka na Chopa
 
RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.

TAREHE 18.10.2020

1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU

TAREHE 19.10.2020

1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI

TAREHE 20.10.2020

1. MWANGA
2. LUSHOTO

TAREHE 21.10.2020

1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN

TAREHE 22.10.2020

1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA

TAREHE 23.10.2020

1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU

TAREHE 24.10.2020

1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA

TAREHE 25.10.20201

1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI

TAREHE 26.10.2020

1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI

TAREHE 27.10.2020

DAR ES SALAAM STAND UP .

TAREHE 28.10. 2020

KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.

Share kila mtu aipate ratiba hii

Alphonce Shadrack Paul
Lissu anamalizia vibaya. sehememu ambazo atakosekana kwenye masikio ya watu maana hizo sehemu zinawatu wachache afu haungwi mkono kabisa na hilo analijua.

Naona JPM akishinda tena kwa kishindo. Alikotoka sasa CCM wanasafisha makapi hadi wana CHADEMA wanajiunga na CCM.

Lissu anakosea kutukana tu bila kuwaeleza ni vipi atatatua changamoto walizonazo.
 
Mbona sioni Mtwara hapo wakati huko Singida anarudia Mara mbili mbili afu Arusha na Mbeya pia hakufanya vya kutosha,bora angeacha Lindi aende Mtwara
 
Jamani vipi kuhusukutumia chopper......maana ratiba iko tight kinyama ....au ndiyo basi tena baada ya Kibali kuzingua

Angekubaliwa chopper ingerahisisha kuwafikia wananchi na wapigakura hasa hizi dakika za lala salama.....

Hafu namkumbusha kima cha chini mshahara kiwe 700,000.....maisha magumu
 
Lissu anamalizia vibaya. sehememu ambazo atakosekana kwenye masikio ya watu maana hizo sehemu zinawatu wachache afu haungwi mkono kabisa na hilo analijua.

Naona JPM akishinda tena kwa kishindo. Alikotoka sasa CCM wanasafisha makapi hadi wana CHADEMA wanajiunga na CCM.

Lissu anakosea kutukana tu bila kuwaeleza ni vipi atatatua changamoto walizonazo.
Mgonjwa wenu vipi nae ratiba yake... mwambie NTWALA NEWALA NACHINGWEA RUANGA MASASI SONGEA NANTUMBO mbona hajiiiiiiiii??? tunansubili ae timpe mipasho yake.
 
Naomba nitoe ushauri wa herufi kubwa

Muda uliobaki mheshimiwa Lissu apandishe joto na alete surprises jukwaani. Watu wamezoea kumuona Lissu peke yake na ujumbe wake ushaeleweka. Muda huu Ikiwezekana kupandisha jukwaanimtu asiyetegemewa na kufichua na kutaja yale makubwa ambayo wananchi hawayajui au yale ambayo hayakutajwa kwenye wiki za mwanzo za kampeni.

Please mheshimiwa na team yako kaeni muwe more creative mlete surprises. Huu ni muda mzuri wa ku score goli la ushindi kwakuwa hawatakuwa na muda wa kusawazisha.

Nimefurahi kuona Pemba ipo kwenye ratiba. Na siku za mwisho naomba mgombea na mgombea mwenza waungane wamalize pamoja.

Sisi wananchi wa kawaida tuendelee kuchangia Chadema ifikie malengo hiyo mikutano ni gharama tuwawezeshe.
 
Lissu anamalizia vibaya. sehememu ambazo atakosekana kwenye masikio ya watu maana hizo sehemu zinawatu wachache afu haungwi mkono kabisa na hilo analijua.

Naona JPM akishinda tena kwa kishindo. Alikotoka sasa CCM wanasafisha makapi hadi wana CHADEMA wanajiunga na CCM.

Lissu anakosea kutukana tu bila kuwaeleza ni vipi atatatua changamoto walizonazo.

Hivi NEC wamesharuhusu matusi eeh? Inakuweje utuambie ametukana NEC wamuache? Au wanamuogopa?
 
Sasa priscus atawaambiaje ccm hali mbaya alionayo,mana mwaka huu kilimanjaro majimbo yote cdm wanachukua bado arusha na manyara

Arusha itoe kwenye hayo mategemeo,
Arusha upinzani umepotea kabisa na ccm wameutumia huo mwanya
 
Ushauri wangu chadema siku ya kufunga kampeni Dar es salaam, ikiwezekana fanyieni jangwani, pia wilaya zote za dar ziwepo hapo, pia mkutano au hotuba ya mh.lissu iandikwe rasmi, pia apewe muda wa kutosha kuhutubia kama masaa matatu hivi, pia ikiwezekana irushwe live na radio na TV, bila kusahau mitandao ya kijamii.Ombeni TV moja au mbili irushe mkutano huo, hoja zote zilizotolewa na jpm akiwa dar zijibiwe ipasavyo.Siku hyo mh.lissu ashauliwe kushusha jazba atulie hasa.pia hotuba hiyo ionyeshe mahali tulikotoka,tulipo, tunakoelekea na tulipokwama na namna ya kutoka iwapo chadema ikichaguliwa.pia wabunge wa dar wanadiwe ipasavyo kwa kuonyesha kwa nn wao wachaguliwe na sio wa ccm.Pia nashauri wafuatao wawepo, ponda, prof.baregu,sheikh Katimba,mwamakula, ikiwezekana na askofu bagonza waalikwe.Pia wajitaidi mkutano uishe saa kumi na mbili jioni bila kuzidisha muda
Niggah langu umetisha asee kwa kwa hii plan yako we gonna take down the street mkali..salute
 
RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.

TAREHE 18.10.2020

1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU

TAREHE 19.10.2020

1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI

TAREHE 20.10.2020

1. MWANGA
2. LUSHOTO

TAREHE 21.10.2020

1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN

TAREHE 22.10.2020

1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA

TAREHE 23.10.2020

1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU

TAREHE 24.10.2020

1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA

TAREHE 25.10.20201

1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI

TAREHE 26.10.2020

1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI

TAREHE 27.10.2020

DAR ES SALAAM STAND UP .

TAREHE 28.10. 2020

KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.

Share kila mtu aipate ratiba hii

Alphonce Shadrack Paul

Kilosa mbona hajaenda
Morogoro kusini
Isimani
Kalenga
Mlimba
 
Arusha itoe kwenye hayo mategemeo,
Arusha upinzani umepotea kabisa na ccm wameutumia huo mwanya
mkali unabofonga kutokea socket gani maana hiyo shudu unayobnga haikogo arfu..Yani chuga ni kilililiii mwanzo mwisho pipo power siyo tu sinoni,sakina,olololoo,kijengee,sekei,sakina,ngalimi yani kila mahali kimewaka chaliii wangu

#HATUAMBIWAGI
 
mkali unabofonga kutokea socket gani maana hiyo shudu unayobnga haikogo arfu..Yani chuga ni kilililiii mwanzo mwisho pipo power siyo tu sinoni,sakina,olololoo,kijengee,sekei,sakina,ngalimi yani kila mahali kimewaka chaliii wangu

#HATUAMBIWAGI

Vituo ambavyo hawajaapishwa tafadhali wekeni picha vitambuliwe hakuna janja janja hapa
 
Arusha itoe kwenye hayo mategemeo,
Arusha upinzani umepotea kabisa na ccm wameutumia huo mwanya
vipi ntwala newala ruanga pale alipofukizwa MOSHI MZITOOO akaingia mitini mbona hakanyagi tena??
nasikia wale wazee wa RUANGA wanakesha njiapanda akipita tu anakula KUBWA KULIKO.
 
Huyo msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
 
Back
Top Bottom