Jamaa bora arudi tu nyumbani kwaoSasa mkuu hata ratiba ya kula usaidiwe....Una umri gani kwanza? inasikitisha sana
Kwa swali lako hili bora uludi kwenu tu,wewe bado ni mtoto hujakua.Habari za jioni wakuu,mimi ni kijana niliyehamua kukimbia nyumbani na kwenda kuanza maisha,tatizo langu kubwa nashindwa kupangilia ratiba ya chakula,naomba tujulishane hapa ratiba nzuri asante
Hakika mkuuJamaa bora arudi tu nyumbani kwao