Smotor
JF-Expert Member
- Jan 3, 2021
- 2,430
- 2,002
Late?Kwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu
Mmeshindwa kujiajiri?
Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho
Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri
Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT
Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!
Shiiit
View attachment 2674522