Rate ya wanachuo mtaani ni kubwa, Wazungu njooni mtuajiri

Kwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu

Mmeshindwa kujiajiri?

Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho

Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri

Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT

Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!

Shiiit

View attachment 2674522
Late?
 
Wewe kubali tu kuwa umekosea bro.
Hizi lugha si za kwetu.

Lakini ingawaje hata kwenye kiswahili umechemka.

Haibu=aibu

Lakini ujumbe umefika.
Shukrani

Kazi yenu ni hiyo tu mliokalia town; subirini mgeuzwe
 
Wewe kubali tu kuwa umekosea bro.
Hizi lugha si za kwetu.

Lakini ingawaje hata kwenye kiswahili umechemka.

Haibu=aibu

Lakini ujumbe umefika.
Shukrani

Mimi sio mswahili
 
Wewe mbona unahasira na hustle za watu wengine?

Wakigeuzwa wewe inakuhusu nini!?

Mmejazana sanaa tatzo; mpo zaidi ya ml-30 nusu ya wanach wa tanzania mpo tu hamjishughulishi wala nn? Hili ndio litakuwa taifa gani? Sasa
 
Mimi sio mswahili
Hiyo inakuonesha level yako ya elimu.
Kujua kiswahili fasaha ni jambo la elimu ya kawaida tu kuhusu lugha ya kiswahili.

Kwanini unawalaumu wanachuo waliomaliza kusoma wakakosa ajira!?
Kwani wote ambao hawajasoma wanakazi na maisha ya kueleweka!?
 
Hiyo inakuonesha level yako ya elimu.
Kujua kiswahili fasaha ni jambo la elimu ya kawaida tu kuhusu lugha ya kiswahili.

Kwanini unawalaumu wanachuo waliomaliza kusoma wakakosa ajira!?
Kwani wote ambao hawajasoma wanakazi na maisha ya kueleweka!?

How come mtu ana miaka sita tangu amalize chuo yupo tu hata kajishughuli hana

Sasa huko chuo kaenda kufanya nn? Watu wanamaliza la 7 .. anaanza mchakato anajiajiri na baada ya miaka 4 anajitegemea nyie kazi yenu kukaa kwa mama zenu tu
 
Wewe unajuaje kuwa wote wanaomaliza kusoma chuo wakakosa ajira huwa hawajishughulishi!?

Huo ndio ukweli wapo tu na sasa hivi wanakuwa matapeli kutwa kuchwa kuwaibia mabibi zetu tu Kwa njia za mitandao
 
Kama serikali inatakiwa ipitishe sheria Kwa wana chuo haiwezekani miaka 10 tangu umalize chuo haujajiajiri yaani hauna manufaa yeyote kwa serikali yako husika hasa hapa tanzania

Kuinufaisha serikali yako ni lazima pindi unapomaliza chuo tena isipite au isikaribie miaka 5-10 uwe teari umeshaliingizia taifa faida

Haijalishi umesomeshwa na serikali au na wazazi wako yaani ni umejulikana ni muhitimu wa chuo tena upo tanzania na ni MTANZANIA hiyo sheria lazima ifanye kazi kwako

Ulipata boom au haukupata hii kama serikari /sheria haihusiani na hilo- mnatia haibu sanaa mpo wengi sanaa mitaaani yaani mpo kama wafu tu hamna faida Kwa wazazi wenu wala kwa serikali yenu mpo mpo tu

Watoto wakike mnazalishwa ovyo wakiume mnazurula tu kutwa nzima hii ifike mwisho hatuwezi mkawa sehemu ya taifa na ujinga wenu wakati mmepitia mafunzo mavyuoni huko na mpo na elimu pia

Hili litapitishwa kama sheria hatuwezi kuwavumilia kamwe- acheni ujinga mjiajiri na sio kuajiriwa tena kama mlivyofikiria

Yaani kuajiriwa na serikali hilo halipo tena ni ninyi mjiajiri wenyewe

Nyambaaaafuuu
 
Back
Top Bottom