Rasmi Simba Imeachana na Augustine Okrah

Rasmi Simba Imeachana na Augustine Okrah

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
228
Reaction score
933
KWAHERI AUGUSTINE OKRAH

Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah 🇬🇭 baada ya kumalizika mkataba wake ndani ya klabu na mchezaji hataongezewa mkataba mpya.

9DD02BE6-1779-4397-84FC-4EA135242135.jpeg
 
Tunamshukuru kwa huduma yake ndani ya klabu bora na yenye mafanikio makubwa ndani na nje ya Tanzania
 
Nilitamani huyu mwamba angebaki walau kwa msimu mmoja zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom