Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 19,987
- 24,018
Sijawahi kusikia watoto wake kweli
Mtoto wa Sumaye Apata jiko
Mtoto wa waziri mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye , Frank Sumaye amefunga ndoa na Anna Temu kwenye kanisa la Azania Front na sherehe za harusi yake kufanyika Ubungo Plazza zikihudhuriwa na viongozi kibao kuanzia Mkapa, Pinda, Warioba, na wengineo kibao.