Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

trade ya kwanza tu ushaanza kuficha ficha 😂😂, fujo zote jana ushaanza kujificha😂😂, kwahio ukaona isiwe tab udeposit kabisa 😂
Hahahaha am fundamental trader by the way,nipo kwa ajiri ya kukufumba mdomo,afu naweza kukugaika ka laki mwisho wa wiki uache uchawa
 

Hahahaha am fundamental trader by the way,nipo kwa ajiri ya kukufumba mdomo,afu naweza kukugaika ka laki mwisho wa wiki uache uchawa
sasa unanifumba mm mdomo ama unajifunga mwenye, unaanza kwa fujo unaanza kujificha ficha, uwe fundamental or whatever we want to see position ya jana
 
Back
Top Bottom