Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,290
- 2,488
Msaada kudeposit exness mpesa... Nikichoose Vodafone what next maana sioni Vodacom na sipati muendelezo
Pia kwa dakika 3 hizo unaweza ku blow profit uliyoijenga kwa siku tatuView attachment 2735231 hakuna kitu sikipend kama kupoteza mda ,
Nimeamua kuwa fundamental completely natrade once per day na natrade news tu, na natrade gold tu
Ni utoto na ujinga kusubir pips mia Siku tatu Wakati unaweza kutrade pips mia KWA dk 3
Katika watu wote waliocomment wewe ndio kidogo hoja yako ina make sense.ivi ushawahi kujiuliza kwann watu wa forex hua hamnaga mafanikio but mna maelezo mengi ya kwann mnaweza kufanikiwa? kama hujawahi jiuliza iki kitu basi jibu lako ndo utupolo ulioandika!
- FACT 1: forex haiko MARKET doesnt exist but FOREX exists, forex ni KITENDO sio soko, hakunaga kitu kama forex market haipo na haiwezi kuepo! kirefu cha FOREX ni FOREIGN EXCHANGE kile kitendo ndo kinaitwa forex sasa na sio soko linaitwa forex, hilo halipo! pia hakuna mtu anaweza kuishi kwa forex hicho kitu hakipo, na hakuna anaeweza kuclaim amefanya ivo, we only have a bunch of liars wanaotaka kukamata watu kwamba inawezekana but in real hicho kitu hakipo
FACT 2: forex is based on what the central bank does kwa asilimia 99% na izo zingine 1% ni mchanganyiko wa funds kama hedge funds ama watu kadhaa wenye uwezo wa kiuchumi, everything apart from that is pure stupidity, central bank wanafanya forex ila sio kwa ajili ya kupata faida, wanafanya ivo kubalance mahesabu yao, mfano mwisho wa mwezi watanzania wamenunua sana nje basi mwisho wa mwezi itawabidi wabadili IOU kwenda cash kulipa madeni ya nje na sio kupata faida, ama wananchi wameuza sana nje basi itabidi wauze reserves zao za dola kwa nchi ingine wapate IOU ama TSH
FACT 3: forex isnt meant for earning na haihusiani na saikology, utateseka sana ukidhan ni saikology, forex haihusiani na charts, we have pairs kama KSHTSH, UGXTSH hazina traders wowote only central banks na znamove kwahio acha kujifanya unaelewa sana soko, pia all these markets are rigged and they arent as how you think, ingekua izi pairs znafuata fundamentals zote basi uchumi wa dunia unacollapse na inakua mwisho wa pairs, if KSHTZS ikijitegemea basi watanzania watajazana kununua ksh ili wabdilishe kwenda dola alafu wapate faida however this is a long story kukuelezea kwa sababu ulijazwa taarifa na broka kwamba unaweza kutoka ukasahau broka nae anakutegemea kiuchumi 😂 😂