chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 735
- 1,208
Hatimaye sasa ule usemi wa mvumilivu hula mbivu umezaa matunda baada ya waziri mwenye dhamana ya habari na teknolojia kuamua kuruhusu local channel kurudi DSTV.
Hata ivyo baada ya agizo hilo kulionekana bado kuna kitendawili baada channeli hizopendwa kutoonekana kama ilivyotarajiwa na wananchi wengi.
Katika kuweka maridhiano sawa mezani hatimae sasa rasmi channeli hizo zipo hewani kama ifuatavyo. 294 Iman TV, 383 ITV na 384 eatv tunawapongeza sana kwa juhudi na jitihada kubwa mlizotuonyesha.
Pia napenda kuwakumbusha kuwa Wameanza kuingiza na radio station ambazo mpaka sasa zilizokuwa tayari ni MAGIC FM 895 na E.FM 807
Hata ivyo baada ya agizo hilo kulionekana bado kuna kitendawili baada channeli hizopendwa kutoonekana kama ilivyotarajiwa na wananchi wengi.
Katika kuweka maridhiano sawa mezani hatimae sasa rasmi channeli hizo zipo hewani kama ifuatavyo. 294 Iman TV, 383 ITV na 384 eatv tunawapongeza sana kwa juhudi na jitihada kubwa mlizotuonyesha.
Pia napenda kuwakumbusha kuwa Wameanza kuingiza na radio station ambazo mpaka sasa zilizokuwa tayari ni MAGIC FM 895 na E.FM 807