Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,765
- 5,835
Hahahaha humu Niko poa Sina shida na mtu. Hata hivyo Kuna tarakimu tatu hazipo kati ya kumi. Ili unibaini inabidi ufanye majaribibio zaidi ya 200 ya kujua full NAMBA kitu ambacho inabidi itumike akili ambayo ni bidhaa adimu kwa mtumiaji wa nguvu.yaani hapo unaamini umeficha namba yako kabisaaa!!!
umeweka urahisi wa kubakiza baada ya pili kabla ya ya tano ni zipi hizo mbili.
nimeifuta nimekunukuuga ujiongeze labda kama upo poa humu no mdomo