Rasmi Manchester City imetwaa ubingwa wa Premier League 2022/23

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
FwlxwQBWAAAL-3N.jpg
Goli pekee la ushindi la Nottingham Forest lililowekwa wavuni na Taiwo Anoniyi dhidi ya Arsenal, leo Mei 20, 2023 ni rasmi limeifanya Manchester City kutwaa ubingwa wa ligi hiyo ikiwa na michezo miwili mkononi

Arsenal ambaye inashika nafasi ya pili, ina pointi 81 na imesaliwa na mchezo mmja wakati Man City ina pointi 85, ikiwa na maana kuwa hakuna timu nyingine inayoweza kufikisha pointi hizo katika ligi hiyo msimu huu wa 2022/23.

Man City inatwaa ubingwa huo mara ya tatu mfululizo ikiwa pia ni mara ya tano katika misimu sita iliyopita chini ya Kocha Pep Guardiola.
 
Hivi, baada ya mipesa kuingia Man City, kuna mwalimu tofauti na Pep aliyeshika akashindwa kufanya vizuri?

Pep, alisubiri, akachungulia, baada ya mwaka mmoja, akaona City imeiva, inapesa, akaingia!

Newcastle nao, pesa imeanza kuongea! Wanahitaji uwekezaji wa miaka mingi kidogo!
 
Goli pekee la ushindi la Nottingham Forest lililowekwa wavuni na Taiwo Anoniyi dhidi ya Arsenal, leo Mei 20, 2023 ni rasmi limeifanya Manchester City kutwaa ubingwa wa ligi hiyo ikiwa na michezo miwili mkononi

Arsenal ambaye inashika nafasi ya pili, ina pointi 81 na imesaliwa na mchezo mmja wakati Man City ina pointi 85, ikiwa na maana kuwa hakuna timu nyingine inayoweza kufikisha pointi hizo katika ligi hiyo msimu huu wa 2022/23.

Man City inatwaa ubingwa huo mara ya tatu mfululizo ikiwa pia ni mara ya tano katika misimu sita iliyopita chini ya Kocha Pep Guardiola.
Liverpool na Man zUtd tusipoangalia tutakutwa na kupitiwa na awa maroboti
 
Hivi, baada ya mipesa kuingia Man City, kuna mwalimu tofauti na Pep aliyeshika akashindwa kufanya vizuri?

Pep, alisubiri, akachungulia, baada ya mwaka mmoja, akaona City imeiva, inapesa, akaingia!

Newcastle nao, pesa imeanza kuongea! Wanahitaji uwekezaji wa miaka mingi kidogo!
Hakuna aliyewapeleka final ya UEFA city na pesa zao
 
Hivi, baada ya mipesa kuingia Man City, kuna mwalimu tofauti na Pep aliyeshika akashindwa kufanya vizuri?

Pep, alisubiri, akachungulia, baada ya mwaka mmoja, akaona City imeiva, inapesa, akaingia!

Newcastle nao, pesa imeanza kuongea! Wanahitaji uwekezaji wa miaka mingi kidogo!
Mkuu wewe ni kama mm.

Pep alikuwa aje man united aligundua Haina uwekazaji, Mzee Fergus aliteseka Sana na wakina Jones, alitumia graduate na watoto wakina Cr 7 baadae Waka misbehave. Beckham baadae akazingua wakauzwa
 
Manasema ooh man city inatumia pesa nyingi ,wakati huo mansema club tajiri ni man UTD

Mnasema mara ooh pep anatumia pesa ,nitajie manager ambaye hatumii pesa kusajili wachezaji ,Chelsea , Liverpool,united hizi club zote zimetumia mabillion ya pesa kununua wachezaji .....

Mara ooh pep anacoach tu timu kubwa ,niambie kocha mkubwa anayeweza kwenda kufundisha team ndogo Carlo ancelot alikuwa everton alifanya nin kule ? Lakin alivoenda Madrid mnasema ni world class coacher kachukua CL ,mbona hakuchukua CL akiwa Everton ?....money talk ....

ifike hatuna mkubalinkuwa pep ni genius ,modern coacher anayeenda na wakati ,mbinu kibao na haogopi kujaribu tactics...

Morihno kinachomfanya asiendelee kutamba ni old tactics,hataki kubadilika na kujua Kwa Sasa mpira umefika wapi ,yeye yupo na mbinu zile zile mwaka 90 ,kutumia striker,kupark bus ,....

Pep > morhino >klopp > Carlo ....

Mengine mtamalizia ,.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom