Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Nimependa tunu za taifa , pitia ilani ya cdm 2010
Hapa ndipo tutakapohehimiana na ni habari mbaya sana kwa CCM hii.mgombea huru/ binafsi aruhusiwe kugombea nafasi zote ikiwemo urais, masharti yatakuwa kwenye sheria
Wame copy katiba ya kenya
Mbona kila maoni ni copy and paste kutoka KENYA?