Kama jambo hujui ya nini kuandika au ni lazima kuandika thread maana sijawahi kusikia wilaya ya zanzibar mjini magharibi A au B na nyingine nyingi umekosea kuliko ulizopatia utafikiri ulilazimishwa kuziandika! Andika ulichonacho uhakika tu, maandiko hayafutiki unaweza ukaendelea kudharaulika daima kwa andishi la leo tuMajimbo ya Zanzibar yatakuwa wilaya, nazo ziko kumi kama ifuatavyo:
1. Wilaya ya Wete
2. Wilaya ya Micheweni
3. Wilaya ya Chake Chake
4. Wilaya ya Mkoani
5. Wilaya ya Zanzibar Kati
6. Wilaya ya Zanzibar Kusini
7. Wilaya ya Zanzibar Mjini Magharibi "A"
8. Wilaya ya Zanzibar Mjini Kaskazini "B"
9. Zanzibar Mjini
10. Wilaya ya Zanzibar Mjini Magharibi
Pamoja na kuwa wabunge kutoka Zanzibar watawakilisha wananchi wachache sana, mimi sioni ubaya wowote hapo. Mbunge kutoka mkoa wa Dar es Salaam atakuwa anawakilisha wananchi milioni tano, wakati Mbunge kutoka wete atawakilisha watu chini ya 50,000, au kutoka maeneo kama Kusini Zanzibar ambapo kuna watu chini ya laki moja.