Rashid Shamte ni nani?

Watu na network zao bhana,tulilalamika hapa huduma za mitandao mbovu,huduma za mitandao gharama,watu kimyaaaa
 
Wizara ya muungano ni wizara yenye bajeti kubwa sana lakini pesa zake nyingi huliwa na wajanja hasa zile pesa za kisingizio cha vikao vya kero za muungano nk, huko makamba atapiga pesa nyingi kimya kimya kwani hakuna anayejua kuna Ulaji wa kutisha.

Kampuni ya Rashid shamte ni kampuni rafiki mkubwa wa ccm hasa Kinana na wenzake akina JK, Nape, Rajab, mangula nk, Tatizo hili litakuwa limewagusa sana ninachojua hapa lazima watafanya juu chini hiyo kampuni iendelee kama zamani kukwepa siri kuvuja zaidi.


Mambo yako mahakamani na hakuna kuficha kitu. Wabunge wa Ukawa kazi kwenu. Fichueni na mengine kwani hata haya makubwa hayalipi kodi stahiki.
 
mpaka mapesa yanachotwa walikuwa wapi?! fix hizi
Kwa hali hiyo unataka kutuaminisha kwamba baada ya kuwapiga kimya mwaka 2010 na mwaka 2014, ndo sababu zilizofanya akamatwe? Au Ni hisia zako2, na kama walishindwa mwka 2010 je ni jasiri gani aliyeamua kumkamata?
 
Nakubaliana na kuwepo conflict of interest; acyually ni conflagration ya chama chetu tusubiri picha kamili. Waliniudhi kushiriki kuchakachua matokeo ya uchaguzi kwa ajili ya ujira. As for Makamba atafika mwisho wa ukuta sasa anaisoma namba hajaielewa.
 
Kuna mahali nilisema ukiona watendaji wa serikali hii wanaenda kutekeleza wajibu wao wa kila siku wanakusanya wapiga picha wa Television kuna mawili. Eitha ni kutafuta sifa na kiki kwenye kazi yao, au kuna jambo linafichwa hapo.
Lakini kuna watu walinishukia kama mwewe nakusema huo ni wivu wa utendaji wa Hapakazituu!
 
IFC, Aldwych International, and Six Telecoms to Develop 100 MW Wind Farm in Tanzania
wind+turbines.jpg
IFC, a member of the World Bank Group, is partnering with Aldwych and Six Telecoms to develop a 100 MW wind farm in Singida, Tanzania, enhancing power supply reliability, decreasing the need for costly fuel imports, and helping fight climate change.

Being developed by project company Wind East Africa, the Singida project seeks to be the country’s first successfull, independent wind energy power project. This project is a result of the government of Tanzania’s push for diverse energy sources, as drafted in its recent policy on renewable energy.

The total project cost for the wind farm is estimated at $285 million, of which IFC, Aldwych and Six Telecoms will contribute $18 million during the development stage and $71 million in total equity.

Located 700 kilometres from Dar es Salaam, the Singida wind farm will produce power through wind turbines to help diversify Tanzania’s electricity away from hydropower. When the hydropower supply drops during times of drought, Tanzania has had to turn to costly emergency power. Wind energy is an innovative way to boost power supply, with Singida expected to add 100 MW of capacity.

Singida will also provide power at more stable cost, as tariffs for wind energy remain relatively constant as no fuel source is required. The farm will be owned by Wind East Africa and operated by a management company led by Aldwych and Six Telecoms.

“IFC invested in Wind East Africa’s Singida farm to support a pioneering energy project that can serve as an example to the entire region,” said Oumar Seydi, IFC Director for East and Southern Africa. “With growing demand for electricity in Africa’s economies, independent power projects like Singida can add much-needed capacity to the power grid. Aldwych International and Six Telecoms’ participation demonstrates how the private sector can advance government efforts to increase energy security.”
Mark Gammons, Project Director for Aldwych, said, “Having been involved in the successful development of the Songas gas to electricity project, Aldwych’s senior management team has deep experience in and a strong belief in the Tanzanian market. We believe this ground-breaking project will help develop the Tanzanian power sector and also the local economy around Singida.”

Rashid Shamte, Founder and Head of Group Strategy at Six Telecoms, said, “As a Tanzanian company in telecoms, we were faced with the challenge of deciding how to best diversify our portfolio. The crippling power rationing in our country presented Six Telecoms with a great challenge in our operations, so this project was a compelling option. Six Telecoms applauds the leadership of TANESCO and the government of Tanzania for initiating the wind measurement campaign in selected areas of the country, for making the wind data available to all interested parties, and for welcoming private sector participation in the energy sector. We are lucky to have experienced partners such as Aldwych and IFC leading our efforts in this project.”


In addition to the investment, IFC will assist in the overall project development. IFC will lend its experience and expertise to project structuring process and to ensure that the project meets the appropriate environmental and social standards.

IFC is making this investment through its InfraVentures division, which was created in 2008 to support innovative infrastructure projects. IFC InfraVentures addresses constraints to private investment in infrastructure, including the limited availability of funds and experienced professionals.

Increasing access to power is at the heart of IFC’s strategy for sub-Saharan Africa. IFC invested $1 billion in infrastructure projects in Africa in fiscal year 2012, up from $200 million five years ago.

About IFC
IFC, a member of the World Bank Group, is the largest global development institution focused exclusively on the private sector. We help developing countries achieve sustainable growth by financing investment, mobilizing capital in international financial markets, and providing advisory services to businesses and governments. In FY12, our investments reached an all-time high of more than $20 billion, leveraging the power of the private sector to create jobs, spark innovation, and tackle the world’s most pressing development challenges. For more information, visit
www.ifc.org.

About Aldwych International
Aldwych is a leading developer of power projects in sub-Saharan Africa. Its founders and management between them have a long history of international power industry experience. They also have extensive operational experience, including operations in sub-Saharan Africa. Most recently, Aldwych, together with Danish partners, financed, built and brought into commercial operation the 90MW Rabai power plant near Mombasa, Kenya, and Aldwych is now co-developing the 300MW Lake Turkana Wind Project in Northern Kenya. Aldwych International Ltd is a wholly owned subsidiary of Aldwych Holdings Ltd (“AHL”), and AHL’s shareholders include its majority shareholder, the Pan African Infrastructure Development Fund, based in South Africa, and Nederlandse Financierings-Maatschappij voor Ontwikkelingslanden N.V. (“FMO”, the Netherlands Development Finance Company). For more information, visit
http://www.aldwych-international.com/


About Six Telecoms Company
Six Telecoms is an international wholesale telecommunications carrier and Value Added Services
(VAS) provider to Mobile Network Operators (MNO) & Internet Service Providers (ISP) across Tanzania, East Africa and globally. Founded in 2004 with a focus on international voice, Six Telecoms has successfully diversified into wholesale data, mobile value added services and media services. Six Telecoms is a wholly Tanzanian owned company. For more information, visit
http://www.6telecoms.co.tz/

Hivi huu mradi wao na kampuni Aldwych wa umeme wa upepo singida uliishia wapi?
 
Mh.. hiyo kampuni mbona ni kama vidagaa tu ,vodacom,tigo mbona wao hawaguswi ,

..huyu kasababisha hasara ya bilioni 8 mnasema ni kadagaa.

..sasa hao mapapa wamekwepa ngapi?

..ukumbuke Mramba yeye kosa lake lilihusiana na kodi ya bilioni 11.

..vigogo wa Tra na Bandari wahusika ktk upotevu wa maelfu ya makonteina wamesababisha hasara ya bilioni 14.


cc Waberoya
 
binafsi siipendi ccm kufaaa..

hawa wajinga wanatuzuga tu..

huyu shamte mtoto wa kishua mboga saba bava yake sijui alikuwa waziri / makamu zanzibar huko..

hajui shida ni nini... kasoma na january usa huko best university..

karudi bongo kafungua kampuni na kuanza kupiga hela.. tenda anapewa kwa upendeleo.. plus dili za ccm.. as kampuni yake ni mojawapo wa it specialist wa ccm hasa kwenye elections..

sp hata asumbuliwe vipi sio levo za kina sisi waajiriwa wa kulipwa vi milioni...

ni kizazi cha ccm hiki.. siwapendi ccm kufa
 
binafsi siipendi ccm kufaaa..

hawa wajinga wanatuzuga tu..

huyu shamte mtoto wa kishua mboga saba bava yake sijui alikuwa waziri / makamu zanzibar huko..

hajui shida ni nini... kasoma na january usa huko best university..

karudi bongo kafungua kampuni na kuanza kupiga hela.. tenda anapewa kwa upendeleo.. plus dili za ccm.. as kampuni yake ni mojawapo wa it specialist wa ccm hasa kwenye elections..

sp hata asumbuliwe vipi sio levo za kina sisi waajiriwa wa kulipwa vi milioni...

ni kizazi cha ccm hiki.. siwapendi ccm kufa


Baba YAke kwa Ndio alikuwa Meneja Mkuu wa Mkonge Tanzania baada ya kustaafu akawa mwenyekiti wa bodi ....ndiye aliyekabidhiwa na nchi kuendesha mashamba yote ya Mkonge nchi hii ....Kama Board ya Mkonge ....yalimfia mkononi kwa sababu Za kibiashara ....lakini pia kulikuwa na upotevu mkubwa Sana wa pesa Za Mauzo ya nje ya mkonge ......ikidaiwa kuna pesa zilikuwa zinaingia kwenye his personal account , ilikuwa in corridors of power wanasema Mkonge ni Shamte na Shamte ni Mkonge
Mzee Shamte , wakati wa utawala wa Mwinyi ambapo juhudi Za kufufua Mkonge zilianza naye alijitwalia shamba kubwa la zaidi ya heka 50'000 Za Mkonge ambapo hadi Sasa linafanya vema......kwenye Sakata la NSSF kukopesha ..."mikopo" Nafuu shamba Lao lilimegewa Bilioni 10 ......ambapo pia wanufaika wengine Baadhi ni Seif wa viwanda vya Mtibwa na Kagera ambao jumla walipewa Bilioni 50.
 
Kwa hiyo hawa jamaa ndiyo watekelezaji wa bao la mkono,baada ya mipango yote kusukwa pale Lumumba?
Kama ni hivyo basi ni upepo tu utapita.
 
Na inawezekana moja kati ya kikosi kilicho ingilia mtandao huu wa JF siku zile tatu iliposimama mwaka jana.
 
KUna kitu hamkijuhi au hamfuatilii embu someni hapa, HASA WALE WANAO ULIZIA KUHUSU VODA, TIGO AND AIRTELL.
Issue ni kuw amtambo wa kukusanywa mapato inaonekana uliponunuliwa hakukufugwaa kwenye simu za ndani, bali ulifungwa kwenye simu za njeee ya nchi, cha kujiuliza kwanini sio za ndani? je hizi za ndani aziibiwi?
so tusahahu kuhusu simu za ndani hizo bado mtambo unatafutwa labda.



Installation of the Telecommunications Traffic Monitoring System (TTMS) - A New Regulatory Tool

DG.jpg
The successful installation and implementation of the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA’s) Telecommunication Traffic Monitoring System (TTMS) is not only a revolution but also one of the greatest achievements to the country’s communication Sector.The TTMS project started with a transparent procurement process where after advertising an Expression of Interest internationally, twenty four companies applied.

This was followed by a transparent evaluation process that ended with five companies which were invited to present Request for Proposal. Finally, the company that won the tender is a consortium of Societe Generale de Surveillance (SGS) and Global Voice Group (GVG) was appointed. The project is being financed under “Build Operate and Transfer” (BOT), whose main advantage is that no funds are paid up front.

The TTMS project that employs state of the art technology has multiple benefits including boosting of the government revenue, detecting and tracking illegal communication operators who had the capability of causing the dwindling down of earnings of licenced operators of the communication services. The TTMS Network Operating Centre (NOC) is housed at the TCRA Headquarters.

The regulatory framework that enables the TTMS project is the Electronic and Postal Communications (TTMS) Regulations of 2013. In these regulations, it is spelt out that each minute of incoming international call is charged USD 25 cents, from international network operators get 13 cents, the government receives 7 cents, and the balance of 5 cents is shared by the consultant and TCRA for maintenance. This enables the Treasury to earn about TZS 1.6 billion monthly from TCRA or about TZS 20 billion annually.

The country’s communication sector has undergone exponential growth in recent years with the number of SIMCards sold increased from 2.1 million in 2004, to 17.6 million in 2009, to 28 million in 2014.

The TTMS facility started working on 1st October last year, and disbursements to the government started in January 2014, as it takes time for the network providers to receive payment from international carriers and in turn process payment to TCRA.

The equipment has enabled easy tracking and booking of fraudulent operators who were not only depriving the government of its revenue but also muddled with smooth regulatory role of the communication sector.


Fraudsters’ acts also interfered with the TCRA positioning statement of ‘Creating a Level Playing Field’ as they tapped incoming international calls through illegal gateways and unlawfully pocketed the earnings.

In what projects the significance of the TTMS equipment, His Excellency President Dr Jakaya Mrisho Kikwete launched the facility on 27th February 2014 commending TCRA for what he described as promising step towards building the Nation.

Dr Kikwete appealed to other institutions in the country to uphold efficiency and be strategic in their execution of duties so as to bring about sustainable development of the country and contribute effectively to upgrade the living standards of Tanzanians.

Success in the establishment of the economically viable TTMS project emanates from well-co-ordinated initiative and joint efforts from the TCRA Board of Directors, Management and staff towards the project.

The TTMS has the capacity to have “add ons” to the current capabilities. These include: Quality of Service (QoS) measurements, to establish telecommunication traffic volume both local and international, to determine revenue/carrier access Billing information and Mobile money monitoring, the hosting of the Central Equipment Identification Register (CEIR).

There is no doubt that the installation of the TTMS has brought a new regulatory tool to the Authority. This will bring more professionalism and efficiency in the communication sector.

Dr.Ally Yahaya Simba

DIRECTOR GENERAL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom