Re.Kishoka,
Nimesema hivyo baada ya kuisoma vizuri sheria ya Usalama wa Taifa. Ninachoweza kusema ni kuwa, kuna watu wana chuki na Othman au hawajui vizuri majukumu ya Usalama wa Taifa, na wamekuwa WAVIVU kuisoma au wamesisoma lakini HAWAJAIELEWA.
Yes i sad.Na suala la yeye kuelezea kuandika mambo katika Raia Mwema na TAnzania Daima linahusu mjadala huu??
Wewe ni king of Spining,Hata kule umejitahidi kumtetea Mzee FMES bila kumruhusu yeye ajietete Mwenyewe.Wewe ni Katibu wa Mwanakijiji??
Re.Kishoka,
Nimesema hivyo baada ya kuisoma vizuri sheria ya Usalama wa Taifa. Ninachoweza kusema ni kuwa, kuna watu wana chuki na Othman au hawajui vizuri majukumu ya Usalama wa Taifa, na wamekuwa WAVIVU kuisoma au wamesisoma lakini HAWAJAIELEWA.
What is our National Security Policy?
Nakubaliana na wewe mkuu lakini tunaweza kuiga mifano mingi tu ya namna ya kudeal na issue kama hii.Kwa mfano Wamarekani through all the scandals from watergate to whatever you can mention mara nyingi CIA ama FBI wamehusika..lakini wanadeal na situation bila ya kujali kuwa ni chama gani kiko madarakani!uwajibishwaji huchukua mkondo wake bila kuiteteresha nchi!
Ni wakati wa kukubaliana kuwa nothing will ever go wrong if at the end ni maslahi ya taifa na wananchi yamelindwa na kuwekwa mbele!Hiki ni kipindi muafaka cha ku revise where we're coming from,what we've achieved..and whether we know where we're going!..kuisoma na kuichambua katiba ya nchi yetu na kuona kwamba ni kwa namna gani maslahi ya taifa yatawekwa mbele..na ubainishaji wake wa hatua dhidi ya uhujumu wa uchumi na mali za taifa kwa kuaminishwa na wananchi!!kuona ni kwa vipi katiba inavyoweza kutumika inavyotakiwa..na kumlinda mwananchi wa kawaida!Its time to give it a serious thought!Its definetly a defining moment in the history of our country's politics!
Nina mashaka na akili za humu ndani, kwani inaonekana ni mabingwa wa kushutumu kuliko kujenga hoja.
Jamani,
Kwa kuwa sheria ya Usala wa Taifa ipo, nawashauri wachangiaji ktk mjadala huu waisome kwa makini halafu turudi ulingoni na kum-challange Bwn. Othman.
Nina mashaka makubwa sana kama "shinikizo" la kujiuzulu Othman ni sahihi. Hapa kuna mtu ana maslahi yake binafsi na anataka kutuingiza ktk ujinga.
Pundit,
...
Nina mashaka na akili za humu ndani,
.
Lakini kwa nini tuwe tunamfuatisha huyo mtu? Hutuwezi kuwa na mawazo huru tofauti nae?
Hulazimishwi kutofautiana na mtu ila ukileta udaku unapewa it on your face.... right there ....... slap!
Hulazimishwi kutofautiana na mtu ila ukileta udaku unapewa it on your face.... right there ....... slap!
stop judging fmes, mitazamo inabadilika, watu wanabadilika.......kwa kifupi kila kitu kinabadilika hatuwezi kufumbia macho ukweli pale inapohitajika tusimame kwenye ukweli, na naamini mzee amejitahidi kufanya hivyo bila kujump kwenye band wagon, hayo ni maoni yangu tu, hata es anaweza kuyapinga.
Duniani hakuna kitu kibaya kama ushabiki manake unaweza kushabikia kitu bila hojas, hapa hii hoja haina msingi kabisa katika kutetea uongo wa ES manake kama misimamo hubadilika kimsingi misimamo hubadilika kwenye maoni, ie mtu ukiamini anafanya kazi nzuri baadae waweza amini kuwa hana analofanya! hapo msimamo umebadilika, perfectly acceptable logically!!
Lakini inapokuwa umesema kuwa umekutana na mimi mara kibao kisha baadae ukasema hunijui, huo ni UONGO sio kubadilika kwa msimamo.
Honestly wakati mwingine huwa najiuliza viwango vya elimu vya wahusika humu! manake mambo kidogo tu ya reasoning watu yanawashinda.
ES awali kumbe imebainika kuwa alidai ameonana na RO mara nyingi sana, sasa anasema huyo RO wala simfahamu, huu ni UONGO wa dhahiri ambao kwa mtu mwenye kujipa cheo cha Field Marshall kwa ''kumkoma nyani giladi'' ni sawa na mtu mzima kuchafua hewa!!
Yaani sijui atatokea wapi katika hili, hivi punde tu tulimtaka Brazameni aombe radhi kwa kusema uongo kuhusu kukamatwa kwa Kitila Mkumbo......napendekeza tumshinikize na FMES nae athibitishe au akiri kuwa ametudanganya...kwa mtu mwenye hadhi fulani ndani ya forum hii kudanganya watu ni kushusha hadhi ya forum...I hope ma-admin mmeliona hili!!
Duh kwa hili ES amechemsha vibaya sana!namuonea huruma huko aliko, naona kapotea ile mbaya ghafla!
Hii bado si chochote,
Unaweza kuwa unamfahamu mtu kwa namna na huyu mtu akakugeuka na akafanya mambo ya ajabu to the point ya wewe kufikia hitimisho la kutomfahamu tena huyo mtu ... fuatilia divosi zinazoendelea duniani.
Ewe bibi unadanganya watu wazima? ukidai umekutana na mtu mara kibao na kisha baadae kudai humjui ni tofauti kabisa na kufananisha na issue za divosi, hapo ni kubadilika misimamo, mimi nikisema nakufahamu na tumeshaonana mara kibao na baadae kwenye issue nyigine nikasema sikufahamu kabisa HUO UNAITWA UONGO...
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema mtu mwenye akili, ambae anajua kuwa una akili akakupa hoja ya kipumbavu kisha ukaikubali, amekudharau...[this is paraphrasing not actual quote]...bibie acha kuinsult intelligence za watu wazima humu!!
FMES ametundanganya afute kauli yake au aseme tuamini lipi anamfahamu RO ''kwa kukutana nae mara kibao'' au ''RO mwenyewe wala simfahamu'' which is true?!!
watu wazima mkishikwa pabaya mnahaha!! tehe tehe
Mzee ES,
Habari za masiku mkuu?
Nimekuwa busy na ujenzi wa Taifa kwa ari, nguvu na kasi mpya ya ajabu.. kiasi imekuwa ngumu kuwa active humu JF, but trust me .. nnapita pita every now and then, na nnapata mengi ya faida.. ingawa na uongo pia uko mwingi.
Baadhi ya uongo ni kwa kutokujua lakini inakera pale inapokuwa ni uongo wa makusudi kabisa.. probably to serve certain interests/agenda.. and sadly, wana JF wengi wanauheshimu as ukweli, as long as uongo huo unaendana na trend ya kuponda na kulaumu viongozi, hata wasiostahili kupondwa!
Ukiwa Muongo .. especially wa aina yako Mzee ES.. inabidi uwe na good memory, otherwise utaumbuka. Maana mitandao hii ina keep records.. hakipotei kitu!
Leo unadai wewe binafsi hata humfahamu RO... na unataka ajiuzulu kwa kushindwa kazi??!!!
ES baada ya kumponda sanaaa RO (while ukiwa humjui), baadae ulikuja kudai umekutana nae mara nyingi na ukakiri kumkubali na kumfagilia RO kuwa he is doing a great job na kuwa sasa hivi anakubalika, na kuwa mmeshakutana mara nyingi.
Refer post zako za nyuma:
Ref: http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=6066&postcount=41
na ukarudia kusifia tena hapa
Ref: http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=6106&postcount=60
Eti leo tena unadai humjui na unataka ajiuzulu. Are you the same ES au ni watu tofauti tofauti mnatumia ID moja?
Nawaonea huruma wanaoendelea kukubali data zako. Labda leo uwasaidie hawa unaowadanganya hapa as to what did RO do to impress you to the extent of kumfagilia as quoted above.
Piga madongo panapostahili, bila kuleta uongo. Utaheshimika that way!!!