barabaraya18
Senior Member
- Sep 18, 2006
- 106
- 8
Mbona hakuna tathmini ya ufanisi wa kazi yake?
Mbona hakuna tathmini ya ufanisi wa kazi yake?
Rwagubiri pamoja na no of posts..lkn humjui Rashid Othman??? Jipe Homework ya kusoma archive..kifupi bosi wa Usalama wa Taifa Tanzania...
Mbona hakuna tathmini ya ufanisi wa kazi yake?
kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiii. I love this forum! Naona taratibuuuu tunaishiwa....
hii thread bado mbichi sana hasa ktk nyakati hizi za kuelekea lala salama ya utawala wa jk.natamani wadau mje hapa kujazia nyama ktk mada hii ili tumtathimini mlengwa.