RAPCHA: Msanii Mkali wa Bongo Fleva( Hip-hop) Now number 1 trending on U-tube - Lissa. This mustn't go Untold.

Sisi wazee rap tushamalizana na akina Jay moe prof jay solo thang

Baadae wakaibuka akina Joh makin Mangwear Chid benzihno

Sasa hawa watoto wa leo rap zao sizielewi kabisa ni vile nimezeeka nn
Kwani hii chuki kali.. Of which Im seeing outa you... Itakusaididia nini..

Support this new beginning...
 
Kwanza nianze kwa Kusema hivi. Sijamfahamu kijana huyu kwa muda mrefu.

Huenda nimesikia nyimbo zake nyingi ila sikujua kama ni yeye. Je! Ni lini ali breakthrough kwangu.., ni pale alipofanya ngoma kali na Jay Dee iitwayo AMEN. Nilianza kupay attention kwake since then. Nikasema embu wacha nimfuatilie kwa karibu.

Nakiri..historia yake siifahamu kabisa. Labda kama wadau mtaweka hapa hustle zake ili tumjue kwa kina.

Sasa this week kijana huyu has taken millions of Tanzanian hip hop fans into a storm, with his powerful,relevant and a full hip hop genre track "Lissa" Ohh.

Guys I have to admit and you should agree with me that now we have the new air waves...we have the new test...we have the newcomer. Ninawahakikishia kijana huyu kwa sasa ni present' lakini I also see that he is the FUTURE.

AMEKUJA IREJESHA HIP HOP YA HESHIMA.. ameturejesha katika mziki wa kistaarabu usiohitaji matusi wala kiki. Lakini MESSAGE.

Wimbo wake wa Lissa uko number 1 trending for all videos...and number 2 trending for music. I hereby declare that.. Rapcha you have all the respect from us, the fans and a full support.

Ningependa faham historia yake kwa wanaomjua vizuri.
View attachment 1814245

Check him here...

e2f2563420524f0b8c7d309c0097e2a5.jpg
 
Uko km mimi hawa madogo naonaga km wananipigia kelele.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu.
Nlijiona niko peke yangu kumbe hata wewe pia.

Mzik unabadirika sana tofauti na Soccer.

Kitu pekee unaweza mzuka ni mpira peke yake

Maana unaona kabisa Biriani
Mbungi ya maana watu wanapenya ktk 18

Lakin ktk mzik aaaa tofauti sana

Watu tusikilize Za miaka hyo

Hizi tuwaachie wenyewe
 
Kabisa mkuu.
Nlijiona niko peke yangu kumbe hata wewe pia.

Mzik unabadirika sana tofauti na Soccer.

Kitu pekee unaweza mzuka ni mpira peke yake

Maana unaona kabisa Biriani
Mbungi ya maana watu wanapenya ktk 18

Lakin ktk mzik aaaa tofauti sana

Watu tusikilize Za miaka hyo

Hizi tuwaachie wenyewe
MTanzania kumbuka kila nabii na wakati wake ukisema wanamuzik ni hao wakongwe pekee unakosea nisameh kama unahic nakuforce lakn nyakat zinabadilika kaka wapo watu waliburudishwa sana na wakina pele,zidane,de lima ronaldinho n.k wakasema hawatatokea wat kama wale na wngn wakasema hawataoenda tena ball Lakin messi,ronaldo wakabadili upepo. Rapcha yupo vzr

So we ought to change
 
Sisi wazee rap tushamalizana na akina Jay moe prof jay solo thang

Baadae wakaibuka akina Joh makin Mangwear Chid benzihno

Sasa hawa watoto wa leo rap zao sizielewi kabisa ni vile nimezeeka nn
Na hao ulikua huchoki kusikiliza mpk kesho
 
Kwanza nianze kwa Kusema hivi. Sijamfahamu kijana huyu kwa muda mrefu.

Huenda nimesikia nyimbo zake nyingi ila sikujua kama ni yeye. Je! Ni lini ali breakthrough kwangu.., ni pale alipofanya ngoma kali na Jay Dee iitwayo AMEN. Nilianza kupay attention kwake since then. Nikasema embu wacha nimfuatilie kwa karibu.

Nakiri..historia yake siifahamu kabisa. Labda kama wadau mtaweka hapa hustle zake ili tumjue kwa kina.

Sasa this week kijana huyu has taken millions of Tanzanian hip hop fans into a storm, with his powerful,relevant and a full hip hop genre track "Lissa" Ohh.

Guys I have to admit and you should agree with me that now we have the new air waves...we have the new test...we have the newcomer. Ninawahakikishia kijana huyu kwa sasa ni present' lakini I also see that he is the FUTURE.

AMEKUJA IREJESHA HIP HOP YA HESHIMA.. ameturejesha katika mziki wa kistaarabu usiohitaji matusi wala kiki. Lakini MESSAGE.

Wimbo wake wa Lissa uko number 1 trending for all videos...and number 2 trending for music. I hereby declare that.. Rapcha you have all the respect from us, the fans and a full support.

Ningependa faham historia yake kwa wanaomjua vizuri.
View attachment 1814245

Check him here...
Kapiga tako 8 kamwagia ndani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom