Ukiona rangi ya Blue, hapo ujue umekula ukashiba.Uwa inanivuruga sana sometimes bluu,nyeusi na usiku inakuwa kama rangi ya bati mpya....
Wasomi nisaidieni...
Duuuh na kweli mkuuAcheni nae huyo..
Anawazingua tu
Tuwasubiri waliowahi kufika beach wajeSio kweli mkuu au hujawahi kufika beach mkuu
Wewe katika kusoma kwako kwa level zote ulizonazo/ulizopitia uliwahi kusoma/kujifunza kuwa maji yana rangi gani?Wapo wengi hawaijui bahari hasa watu wa kanda ya ziwa,arusha na kilimanjaro
Ni kweli kabisa maji ni colourless,ordourless and tastelessWrwe katika kusoma kwako kwa level zote ulizonazo/ulizopitia uliwahi kusoma/kujifunza kuwa maji yana rangi gani?