Rangi ya CCM

Rangi ya CCM

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,830
Reaction score
12,291
Ni njano na kijani.

Sasa kwanini suruali inakua nyeusi na sharti kijani mara nyingi ka sio zote?
Kama kuna mtu mwenye picha ya:-

1. Suruali/skirt nyeusi, sharti njano
2. Shart jeusi, suruali/skirt kijani.
3.Suruali njano, shati kijani and vice versa

Naomba aniwekee tafadhali.
 
Rangi za YANGA hizo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kinachonishangaza ni namna viongozi wa chadema wanajiita waadilifu na kuchangisha fedha mtaani kwa ajili ya uchaguzi ili waende ikulu baba wa taifa namnukuu ''ukiona mtu yupo tayari hata kutumia fedha ilikwenda ikulu aogopwe kama ukoma" lkn pia mbona katika maandamano yao hawawatangulizi watoto wao niliangalia vizuri sana arusha maandamano ya kumpinga meya polisi walipoanza kuwatawanya watu slaa alikuwa wa kwanza kuchapa mwendo na hakuonekana tena hadi alipokamatwa baadae
 
Kiongozi mkubwa kama lisu anasubutu kuzuia michango ya maendeleo jimboni kwake wakati chama chao kinachangisha maskini nchi nzima huu sio ungwana wasingida wanaongoza kwa tembe na kutokwenda shule badala awasaidie yeye ndo anawagandamiza huu ni uchawi...haitoshi anaingia bungeni akiwa kifua mbele kupinga hoja ya kutusaidia vijana eti kwa sababu hajawahi kusikia popote duniani hivi huyu sio mgonjwa wa kigwangale kweli
 
Kwani Chadema imekula dili ya mikataba ya madini mpaka wasichangishe fedha?!
 
Kiongozi mkubwa kama lisu anasubutu kuzuia michango ya maendeleo jimboni kwake wakati chama chao kinachangisha maskini nchi nzima huu sio ungwana wasingida wanaongoza kwa tembe na kutokwenda shule badala awasaidie yeye ndo anawagandamiza huu ni uchawi...haitoshi anaingia bungeni akiwa kifua mbele kupinga hoja ya kutusaidia vijana eti kwa sababu hajawahi kusikia popote duniani hivi huyu sio mgonjwa wa kigwangale kweli

Gaudence ni muhimu kuonesha hisia zako YES ila kumbuka unatumia Jina lako halisi hapa, kumbuka kuna leo na kesho, ni vyema usiongee lugha za kuudhi au kuonesha kabisa unamchukia mtu fulani, kwenye siasa lolote linaweza kutokea usijebadili jina baadae!
 
Mimi hayo ndio ninayokataa kwani anaekupinga kisiasa ni hadui? Mpaka ajifiche asie kubari utofauti si mtu mzuri huu utofuti ndio uliufanya chadema iwepo kama hujui, lazima tukubari changamoto.
 
Back
Top Bottom