KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,291
Ni njano na kijani.
Sasa kwanini suruali inakua nyeusi na sharti kijani mara nyingi ka sio zote?
Kama kuna mtu mwenye picha ya:-
1. Suruali/skirt nyeusi, sharti njano
2. Shart jeusi, suruali/skirt kijani.
3.Suruali njano, shati kijani and vice versa
Naomba aniwekee tafadhali.
Sasa kwanini suruali inakua nyeusi na sharti kijani mara nyingi ka sio zote?
Kama kuna mtu mwenye picha ya:-
1. Suruali/skirt nyeusi, sharti njano
2. Shart jeusi, suruali/skirt kijani.
3.Suruali njano, shati kijani and vice versa
Naomba aniwekee tafadhali.