skunk
Senior Member
- Aug 11, 2013
- 166
- 27
Habari jamani samahani lakini kwa kuingilia mambo ya watu sababu Mimi si mshabiki wa Arsenal ila Huyu dogo kila akifunga Goli lazima utasikia balaa limetokea alifunga siku Osama alipo uwawa, then akafunga tena siku Gaddafi alipo uwawa, sasa juzi alifunga dhidi ya man city nikasikia shabiki mmoja akisema balaa hilo ndipo nami nikawa aware na current news but habari kubwa niliyoisikia ni kupigwa risasi sheikh Ponda sasa Eti inaweza Kuwa na correlation Kweli na holiday jambo