mtugani wa wapi huyo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 1,239
- 1,477
Mwenye utaalam aniwekee ramani ya nyumba nzuri ya kuishi
Tafuta wataalamu wakuchoree ramani unayotaka!
Mkuu wataalam nawafaham ttz gharama nahitaji wanabodi mniwekee ramani za nyumba zenu then me ntachagua ya kunifaa
HIvi we unaishi Dunia gani kwani ninavyo fahamu wataalamu wa kuchora ramani wako kila sehemu.
Ficha upumbavu wako mkuu,unataka kujenga halafu unaogopa gharama Za ramani?Kama vp poa mpe Fundi apime hatua achimbe msingi then ajenge...
Mkuu wataalam nawafaham ttz gharama nahitaji wanabodi mniwekee ramani za nyumba zenu then me ntachagua ya kunifaa
TBA hua nahic wana hucka na izi kazi
Aaaaaaahaaaaaa!!!!!kwahiyo wewe unataka buleeeeee!...na kwitha kojoa..pole
Mwenye utaalam aniwekee raman ya nyumba nzur ya kuish[/QUOTE
" usipende vitu vya bure achana na dezodezo,usipende kula vya watu huku hujui mchezo "
by young challiz featuring tundaman (2011)
Mkuu nimeshajenga na mimi ni architect ila Haya mambo ya kupenda vya bure ndio yanatugharimu watanzania,fikiria mtu umepiga kitabu ardhi miaka kadhaa Leo waje watu Kama Wewe wa bure tutaendelea kweli?hats aliejenga hawezi kukuwekea Raman hapa coz ameilipia gharama zake,sawa mkuu?usiwe na akili ya tshet na kanga Za bure...Kaka yawezekana ww ndo hujaelewa me nahitaji nyumba yangu iwe imepata mchango ktk jf we weka ramani 2 acha mambo mengi au hujajenga?
Ungekuwa Dar ningekushauri uende pale posta mpya mbele ya ofisi za mamlaka ya korosho Tanzania,kuna mchora ramani wa bei poa,yeye anauza kimachinga kabisa.Mkuu wataalam nawafaham ttz gharama nahitaji wanabodi mniwekee ramani za nyumba zenu then me ntachagua ya kunifaa
Mkuu tembelea web kama hizi utapata idea ya kitu unapenda!!Mwenye utaalam aniwekee raman ya nyumba nzur ya kuish
Ungekuwa Dar ningekushauri uende pale posta mpya mbele ya ofisi za mamlaka ya korosho Tanzania,kuna mchora ramani wa bei poa,yeye anauza kimachinga kabisa.