Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,652
- 5,634
website gani naweza kuzipata
website gani naweza kuzipata
VIP kuhusu cm zake kwa upande kwa square meter zake kwa kila rooms msaada plzz bwana architectureHii nimeipenda kiukweli
Ngoja nakuwekea za kutosha kama nne ushindwe weweMdau kama una ramani ya nyumba ya vyumba vitatu weka hapa, kuweka hapa utakuwa umesaidia watu wengi!!!
Wewe huwezi kujua kwa sababu ni mbumbumbu wa kusoma ramani..umeshapewa ramani,ipakue nenda kampe fundi atakuonyesha mlango ulipo...!!Lkn pia naona ramani hyo yenye room tatu naona malngo mmoja tu wa kutokeaa amabpao ni hatari pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss huwezi pata ramani kwa stail hii,ukipata uyapata ramani isiyokidhi hajabya moyo wako,utaletewa ramani za ulaya ambazo nyingi haziendani na mazingira na tamaduni za kiafrica.kwa ushauri zaidi nitafute.0713051170Mdau kama una ramani ya nyumba ya vyumba vitatu weka hapa, kuweka hapa utakuwa umesaidia watu wengi!!!
Hata Mimi hushangaa wanaonunua ramani ya kwangu nilikopi nyumba ya mshikaji wangu nikaongeza ukubwa wa sebule tu nasehemu ya kusomea.
Ya kwanza hiyo apo!Mdau kama una ramani ya nyumba ya vyumba vitatu weka hapa, kuweka hapa utakuwa umesaidia watu wengi!!!
Upo mmoja tuu we una sio Lazima nyumba iwe na milango Ming kwa Raman hiyo upo huo huo mmojaMlango wa sebuleni nimeuona,nazungumzia mlango mwingine utakuwa jikoni hapo ama
Muwe mnajenga tabia ya kujiongeza kule jikoni unaweza kuweka mlango wa 2 pia ,acheni kuchosha watuLkn pia naona ramani hyo yenye room tatu naona malngo mmoja tu wa kutokeaa amabpao ni hatari pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia google tafuta ramani ya idadi ya vyumba unavyotakawebsite gani naweza kuzipata