Teh teh teh... ilo jibu tosha kabisaHahahaha jenga namba 7 au L tu kama unataka za bure
Pekua huku Berot.comUnauza sh ngapi
Chukua hiiMdau kama una ramani ya nyumba ya vyumba vitatu weka hapa, kuweka hapa utakuwa umesaidia watu wengi!!!
USIPENDE VYA BURE,GHARAMA YAKE NI FEDHEHA.Mdau kama una ramani ya nyumba ya vyumba vitatu weka hapa, kuweka hapa utakuwa umesaidia watu wengi!!!
hahahahahaPunguza ukitonga mkuu, zinauzwa hizo..
Miaka Mitano ya kutolala ardhi universitywenzako wanasomea hiyo kozi ya uchoraji wa ramani kwa miaka3 mpaka miaka4 alafu wakupe bureeeeeh tu!
Mkuu jiongeze