Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Halafu kibabe eti weka hapa, kama rahisi si uweke wewe.
Yaani watanzania kweli kabisa tumefikia hatua hii kweli,Uchoyo sio sifa za watanzaniaHalafu kibabe eti weka hapa, kama rahisi si uweke wewe.
Mitano...wenzako wanasomea hiyo kozi ya uchoraji wa ramani kwa miaka3 mpaka miaka4 alafu wakupe bureeeeeh tu!
Mkuu jiongeze
Halafu unatoka na deni la milioni 30 HeslbMiaka Mitano ya kutolala ardhi university
Jitahidi uwe kama Joseverest.Jf bana why watu hamna mawazo yanayojitegemea , uzi ukifunguliwa comment ya kwanza ndio inatoa mwelekeo wa zinazofata angalia nyuzi kibao utagundua hilo sasa kumbe binadam wengi tuna asili ya manyumbu
Mengine ukimsaidia mtu Mwenyezi Mungu mwenyewe atakulipaHalafu unatoka na deni la milioni 30 Heslb
Hii nimeipenda kiukweliChukua hii
![]()
Google zipo kibao nawashangaa wanaonunua ramaniHalafu kibabe eti weka hapa, kama rahisi si uweke wewe.
Ivi kwa ramani hii kiukweli nimeipenda sana,swali langu hapo je mlango wa kutokea upo eneo la jikoni ama unakaa eneo gani hapoChukua hii
![]()
Tafuta neno TERRACE (Kibaraza) utauona mlango wa mbele na wa nyuma upo jikon,hope nimekujibuIvi kwa ramani hii kiukweli nimeipenda sana,swali langu hapo je mlango wa kutokea upo eneo la jikoni ama unakaa eneo gani hapo
Lol how possible is that ??Tafuta neno TERRACE (Kibaraza) utauona mlango wa mbele na wa nyuma upo jikon,hope nimekujibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenielewa lakini? Nimekwambia kwa mkao wa ramani hiyo Tafuta neno Terrace hapo ukilipata basi jua hicho ni Kibaraza cha mlango wa mbele maana ukikichunguza hapo utaona mlango pachaLol how possible is that ??
Yaani mlango wa mbele na nyuma uwe jikoni ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo hapo mbele kwenye kibalaza hiki kaka ukiingia una ingia seblenIvi kwa ramani hii kiukweli nimeipenda sana,swali langu hapo je mlango wa kutokea upo eneo la jikoni ama unakaa eneo gani hapo
Mlango wa sebuleni nimeuona,nazungumzia mlango mwingine utakuwa jikoni hapo amaUpo hapo mbele kwenye kibalaza hiki kaka ukiingia una ingia seblen
Sent using Jamii Forums mobile app
JikoniMlango wa sebuleni nimeuona,nazungumzia mlango mwingine utakuwa jikoni hapo ama
Kwa ramani iyo kwa kiwanja chenye size hii inawezekana kweli,kiwanja kina Upana mita 11 na urefu ni mita 15,hapo vipiUmenielewa lakini? Nimekwambia kwa mkao wa ramani hiyo Tafuta neno Terrace hapo ukilipata basi jua hicho ni Kibaraza cha mlango wa mbele maana ukikichunguza hapo utaona mlango pacha
Na mlango wa nyuma utakua jikoni,kama hujanielewa mtafute fundi akueleweshe
N.B hapo palipochorwa viduara duara ndio mbele na mlango wake ukiuchunguza utauona huo pacha
Sent using Jamii Forums mobile app