MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,654
- 48,432
Huku mataifa yanayoongozwa na chuki za kidini yakitaka Wayahudi wauawe na Israel ifutwe kwenye ramani ya dunia, kuna idadi kubwa sana ya mataifa yanayotambua haki ya Wayahudi kuishi dunia hii.
Kuna machache yamesitisha uhusiano kama mbinu ya kulalamika kwa jinsi Israel inatembeza kichapo pale Gaza.
Kwa hiyo, wale mnaosema humu kwamba ipo siku Wayahudi watafutwa duniani kisa mliaminishwa kwenye vitabu vyenu vya dini, hilo haliwezekani, dunia inatambua uwepo wa Israel, inatambua haki ya Wayahudi ya kuishi, na hata mkijilipua mabomu mara ngapi, bado mtakufa nyie na kuwaacha Wayahudi wakiendelea kuishi.
Kuna machache yamesitisha uhusiano kama mbinu ya kulalamika kwa jinsi Israel inatembeza kichapo pale Gaza.
Kwa hiyo, wale mnaosema humu kwamba ipo siku Wayahudi watafutwa duniani kisa mliaminishwa kwenye vitabu vyenu vya dini, hilo haliwezekani, dunia inatambua uwepo wa Israel, inatambua haki ya Wayahudi ya kuishi, na hata mkijilipua mabomu mara ngapi, bado mtakufa nyie na kuwaacha Wayahudi wakiendelea kuishi.
Mapped: Recognition of Israel by Country
Belize is the latest country to suspend relations with Israel as of November. In this graphic we map the recognition of Israel by country.
www.visualcapitalist.com