mjukuu2009
Member
- Jul 6, 2009
- 89
- 4
Ramadhani na Dk.Slaa
Habari ndugu zangu,poleni na swaumu.leo nilipokuwa masjidi nikakumbuka kwamba niko kwenye mwezi wa toba na ata siku moja sijawai kumwombea Raisi wangu Dk.Slaa,kwaiyo kuanzia leo nimeamua niweke sala malumu kumuombea raisi wetu Dk.W.Slaa afya njema na ushindi wa kishindo ili tuweze kuona Tanzania ikikombolewa kutoka mikononi mwa majangili ya yaliyopewa nchi kwa takiribani miaka 50 sasa.
Naleta ombi langu kwenu watanzania wezangu mlio ndani na nche kuweka maombi malumu kwa ajili ya kumuombea Dk.Slaa ashinde urais ata Mw.Nyerere watu walimuombea kwa mungu wetu ndio mana akaweza kupata uhuru bila kumwaga damu,na Dk.Slaa ni kama Nyerere wa kipindi iki mana anaenda kutukombolea nchi yetu iliyoporwa.
Waislamu wenzangu tuliweke ili kwenye mwezi huu wa toba mpaka uchaguzi huishe na kwa ndugu zetu wakiristo naomba mumuombe raisi wetu Dk.Slaa ili apate ushindi kuanzia leo.
Swaumu njema.
Asanteni
Habari ndugu zangu,poleni na swaumu.leo nilipokuwa masjidi nikakumbuka kwamba niko kwenye mwezi wa toba na ata siku moja sijawai kumwombea Raisi wangu Dk.Slaa,kwaiyo kuanzia leo nimeamua niweke sala malumu kumuombea raisi wetu Dk.W.Slaa afya njema na ushindi wa kishindo ili tuweze kuona Tanzania ikikombolewa kutoka mikononi mwa majangili ya yaliyopewa nchi kwa takiribani miaka 50 sasa.
Naleta ombi langu kwenu watanzania wezangu mlio ndani na nche kuweka maombi malumu kwa ajili ya kumuombea Dk.Slaa ashinde urais ata Mw.Nyerere watu walimuombea kwa mungu wetu ndio mana akaweza kupata uhuru bila kumwaga damu,na Dk.Slaa ni kama Nyerere wa kipindi iki mana anaenda kutukombolea nchi yetu iliyoporwa.
Waislamu wenzangu tuliweke ili kwenye mwezi huu wa toba mpaka uchaguzi huishe na kwa ndugu zetu wakiristo naomba mumuombe raisi wetu Dk.Slaa ili apate ushindi kuanzia leo.
Swaumu njema.
Asanteni